Msaada nakufa mwenzenu

Msaada nakufa mwenzenu

Nyie watu wengine mnachezea sana habari ya kifo kirahisi rahisi namna hiyo...umetafuta kwa makengeza yako na mapupa na wakati simu yenyewe tena kimeo.

Kwanini msiwe mna tulia?? Tena bora ungeandika tu naomba mwenye kuweza kunisaidia kuona jina tungekuelewa kuliko kutukurupusha tukizani alshabab wamekudaka wanataka kukuchinja...hovyo kabisa weye...mmmxxx!!

Dah it is not a laughing matter ila imenibidi nicheke mwenyewe imenibidi nije mbio kumbe hajacheki vzuri
 
Title inatisha, ila angalau imeleta majibu yalotarajiwa maana ile lugha laini wametumia wengi hadi imezoeleka
 
Dah it is not a laughing matter ila imenibidi nicheke mwenyewe imenibidi nije mbio kumbe hajacheki vzuri

Haaaaa asante kuja kusaidia mwaya maana nilisha omba msaada wakuangaliziwa weeeee hakuna aloxniangalixia zaid nilipewa link
 
umepanic mwenyewe sasa sijui wewe unakufa vipi? acha pressure jina lipo chuo cha TUDARCO tumaini

sasa sielewi uliangalia mwenyewe au uliangaliziwa jadi iseme jina hamna

Nisaidie s1039/0089/2011 mkuu, nimekosa udsm na duce CAS status in progress
 
Back
Top Bottom