Msaada: Namna bora ya kusimamia mabasi ya mikoani

TopStar

Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
10
Reaction score
4
Habari zenu wanajamii forum,bila kupoteza muda nlikiwa naomba maoni na mitazamo mbalimbali juu ya biashara ya mabasi ya mikoani.ningependa kupata ujuzi namna wamiliki wa mabasi ya mikoani hufanya ili kuepusha uwizi wa hela ya mlangoni(hela ya njiani). Pia ningependa kufaham namna uongozi wanavyo upangilia kwanzia ngazi ya chini (mfano: mpakia mzigo)mpaka ngazi ya juu. [HASHTAG]#hebu[/HASHTAG] tusaidiane juu ya hili wana jamii forum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwadhiti abiria wa njiani ni kazi sana..wengi huweka ndugu au watu wanaowaamini wasindikize mabasi
 
Hizo kamera zinathibitisha vipi kama huyo abiria ana tiketi au la? Maana kuna wengine wanatiketi na wanapandia njiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…