Msaada: Namna ya kuacha kuvuta ugoro

Msaada: Namna ya kuacha kuvuta ugoro

kadendu

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2014
Posts
645
Reaction score
496
Ndugu zangu naomba msaada, nitumie njia gani kuacha kuvuta ugoro? Ni Mwaka wa 4 sasa tangu nianze kuvuta baada ya kushauriwa kuwa inatibu shinikizo la damu.

Kwa sasa maji yamenifika shingoni kwani unanikausha mwili wangu balaa.
 
Ahaaaaa kadendu usiache bwana, we endelea kubugia tu huko kukauka mwili ndiyo starehe yake. Endelea kubugia na ukondeane uwape watu ajira ya kukusema mtaani kuwa umeuvaa.
 
am sorry unaweza kutuma ugolo huo ukoje mfano sie tuliokulia vijijini tunajua Ugolo ni tumbaku ilosagwa!
Nilipokuja mjini hapa DSM nkasikia Ugolo sio hiyo tumbaku na sijawai bahatika kuona ila kuna taarifa nilipata kuwa ni 'KUBERI' sijui kama nimelipatia neno!

KIngine ambacho ningependa kujua ni je usipotumia kuna withdrawal sysmptoms unapata kiasi cha kuku force ukajipatie tena huo ugolo?

Kuna addicition zinazopona ila inategemea na aina ya kilevi!
 
aisee watu wanadhambi, kumshauri mtu atumie ugolo!!!
 
Ndugu zangu naomba msaada, nitumie njia gani kuacha kuvuta ugoro? Ni Mwaka wa 4 sasa tangu nianze kuvuta baada ya kushauriwa kuwa inatibu shinikizo la damu.

Kwa sasa maji yamenifika shingoni kwani unanikausha mwili wangu balaa.
Jitahidi kila mda uwe unakula pipi au unatafuna big G tena ungepata zile aina ya p.k rangi ya sumer blue zina ladha fulani kama colget ni nzuri ndani ya wiki unasahau
Nunua pkt nyingi weka mfukoni ule mda unajiskia kula huo ugoro chukua kimoja rusha mdomoni tafuna hiyo hali itaisha kabisa ukiweza leta mrejesho mkuu
 
am sorry unaweza kutuma ugolo huo ukoje mfano sie tuliokulia vijijini tunajua Ugolo ni tumbaku ilosagwa!
Nilipokuja mjini hapa DSM nkasikia Ugolo sio hiyo tumbaku na sijawai bahatika kuona ila kuna taarifa nilipata kuwa ni 'KUBERI' sijui kama nimelipatia neno!

KIngine ambacho ningependa kujua ni je usipotumia kuna withdrawal sysmptoms unapata kiasi cha kuku force ukajipatie tena huo ugolo?

Kuna addicition zinazopona ila inategemea na aina ya kilevi!
huo huo wa tumbaku mkuu.
Jitahidi kila mda uwe unakula pipi au unatafuna big G tena ungepata zile aina ya p.k rangi ya sumer blue zina ladha fulani kama colget ni nzuri ndani ya wiki unasahau
Nunua pkt nyingi weka mfukoni ule mda unajiskia kula huo ugoro chukua kimoja rusha mdomoni tafuna hiyo hali itaisha kabisa ukiweza leta mrejesho mkuu
shukrani mkuu
 
Inategemea kama rafiki zako wala ugoro ni ngumu au kama ugoro upo maeneo yako ngumu sana. Anza kuwa karibu na Mungu. Mawaidha na hisia za maombi yanafanya ukae mbali na maovu
 
Jitahidi kila mda uwe unakula pipi au unatafuna big G tena ungepata zile aina ya p.k rangi ya sumer blue zina ladha fulani kama colget ni nzuri ndani ya wiki unasahau
Nunua pkt nyingi weka mfukoni ule mda unajiskia kula huo ugoro chukua kimoja rusha mdomoni tafuna hiyo hali itaisha kabisa ukiweza leta mrejesho mkuu
Sawa mkuu ile stimu inafanya midomo kuregea na mikono kiujumla nashangaa nikitumia nalala sana
 
Inategemea kama rafiki zako wala ugoro ni ngumu au kama ugoro upo maeneo yako ngumu sana. Anza kuwa karibu na Mungu. Mawaidha na hisia za maombi yanafanya ukae mbali na maovu
Hata viongozi wa makanisani ni watumiaji wazuri sana
 
Back
Top Bottom