Msaada namna ya kuandaa nyama choma

kumbe ni ajinomoto nilijua majinamoto.. asante sana..
 
Last edited by a moderator:

Nashukuru sana...Jamani karibuni...kesho nitafanya majaribio
 
Wataalam habari za asubuhi; natamani nijue jinsi ya kukausha nyama iwe vizuri na ladha nzuri; naombeni maujanja
 
Wataalam habari za asubuhi; natamani nijue jinsi ya kukausha nyama iwe vizuri na ladha nzuri; naombeni maujanja

Kwanza kabisa unapaswa kufahamu ya kuwa nyama ya kukausha haipaswi kuoshwa. Pili nyama ya kukaushwa haitakiwi kukatwa vipande vidogo vidogo bali inatakiwa kukatwa katika mapande makubwa makubwa. Kabla ya kukausha nyama yako unaweza ku-marinate nyama yako kwa kutumia limao, vitunguu swaumu, tangawizi, pilipili manga, chumvi na binzari ili kuifanya nyama yako iweze kuwa na ladha na harufu nzuri na ya kuvutia.

Unaweza kukausha nyama yako kwa kutumia jiko la oven au hata la mkaa. Lakini kwa matokeo bora zaidi; nashauri utumie jiko la oven.
 
Kuna umuhimu wa kuanzisha Uzi wa kuzungumzia maswala yanayohusu Mapishi umu Jamii Forum
 
Nataka kuanzisha bihashara ya kuchoma mishikaki, nazidi okota vitu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…