Msaada: Namna ya kuandikishiana mkataba wa bodaboda

Msaada: Namna ya kuandikishiana mkataba wa bodaboda

Mkuu mambo ni kupeana dili mjini nenda kwa mwanasheria aliye karibu nawe akuandikie mkataba kwa shs 20,000 tu, wao wanajua kila kitu kuhusu hiyo mikataba, tena hata huyo unayempa pikipiki akisikia anapelekwa kwa mwanasheria kusaini mkataba ataheshimu sana makubaliano kuhusu chombo. Kisaikolojia watu wa aina hiyo huwa wanaheshimu sana wanasheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
serikali za mitaa pia lazima awepo shahidi wako na yeye aje na shahidi yake(mdhamini) na kila mtu atachukua copy ya mkataba huku nakala halisi(original)itabaki kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa

Mkuu, naomba nikurekebishe kidogo kwamba huachi nakala halisi mahala popote pale hiyo ni nakala yako halisi na inahitajika kila mahali mfano ukienda benki kutaka mkopo wa kupanua biashara yako.

Nakala halisi ni kama vile vyeti, na nyaraka muhimu kama business plan yako ambazo siku zote ni wewe hukaa nazo.

Copy ndiyo huwa inaachwa kila mahali.
 
Mkuu, naomba nikurekebishe kidogo kwamba huachi nakala halisi mahala popote pale hiyo ni nakala yako halisi na inahitajika kila mahali mfano ukienda benki kutaka mkopo wa kupanua biashara yako.

Nakala halisi ni kama vile vyeti, na nyaraka muhimu kama business plan yako ambazo siku zote ni wewe hukaa nazo.

Copy ndiyo huwa inaachwa kila mahali.
sorry mkuu huruhusiwi kuweka dhamana ya mkopo pikipiki ambayo ipo kwenye mkatava
 
Mkuu mambo ni kupeana dili mjini nenda kwa mwanasheria aliye karibu nawe akuandikie mkataba kwa shs 20,000 tu, wao wanajua kila kitu kuhusu hiyo mikataba, tena hata huyo unayempa pikipiki akisikia anapelekwa kwa mwanasheria kusaini mkataba ataheshimu sana makubaliano kuhusu chombo. Kisaikolojia watu wa aina hiyo huwa wanaheshimu sana wanasheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran mdau
 
Anayekukatisha tamaa kuwa bodaboda siyo kazi ni mtu aliyefeli katika biashara. Watu tulianza na bodaboda 3 miaka 7 iliyopita na sasa tunamiliki hiace za kutosha na bado bodaboda hatuachi. Jiwekee malengo mkuu na omba Mungu upate madereva wazuri, utatoboa tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera yako mkuu
 
Mkuu mambo ni kupeana dili mjini nenda kwa mwanasheria aliye karibu nawe akuandikie mkataba kwa shs 20,000 tu, wao wanajua kila kitu kuhusu hiyo mikataba, tena hata huyo unayempa pikipiki akisikia anapelekwa kwa mwanasheria kusaini mkataba ataheshimu sana makubaliano kuhusu chombo. Kisaikolojia watu wa aina hiyo huwa wanaheshimu sana wanasheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Asee Mkuu umeongea kitu muhimu na vipi kama mtu unataka kununua kiwanjaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jina lake kamili, kiapo cha yeye kupokea pikipki kutoka kwako,regstration number za pikipki,tarehe ya mkataba kuanza na kumalizika, masharti ya mkataba kama atatengeneza yy ikiharibika, atalipa fine kwa makosa yote ya barabarani bila kuathiri marejesho, akishindwa kulipa marejesho kwa kipindi flan eg. One week atavunja mkataba with no compasation.ikiibiwa atailipa mpya. Baada ya mkataba kuisha utamkabidhi pikipki na kadi yake original. Bado itabaki ni mali yako kabla ya mkataba kuisha. NB. Hakikisha ina vibali vyote kabla haijaingia barabaran. Mengine utaongezea.
Uko vizuri na inaonekana ukiwa kazini hutaki mchezo.

"the highest risk shoud give the maximum profit"
 
Nchi inatakiwa kuwa na watu kama wewe wengi ilitufanikiwe. Kuna waty wapokutatisha wenzao tamaa na wapo pale pale kimaisha kila siku. Watu wametoka kwa boda boda na bajaj

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wanakukatisha tamaa ili wafanye wao peke yao,it is a stratergy to reduce competition so you must stay focused in anything your doing.

"the highest risk shoud give the maximum profit"
 
Usimkatishe tamaa mwenzako nmejenga kwa biashara ya bodaboda,nilianza na mbili na sasa nnazo 5 na bajaji 3 kwa kipindi cha miaka 6 na nnampango wa kuwa na kampuni ya usafirishaji na ndio ndoto yangu. Bila mia huweza pata milioni.
Hongera sana mkuu[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom