Kama nilivyosema Wanajf msinichoke.Bado naendelea na kaduka kangu nyuma ya genge kwani nilifanikiwa kufungua vyote viwili.Tatizo sijajua namna ya kupiga hesabu na kujua nimepata faida kiasi gani ILA NASHANGAA VITU VIMEONGEZEKA KWENYE KADUKA SI KAMA NILIVYOANZA!!!Kwani kila pesa ninayouza nanunua vitu.Nasubiri nyie wataalamu wa kukokotoa faida mnisaidie!!!
Ni rahis saana. Sema watu wengi wanabwabwaja hawajui mwisho wa siku mtu kama una duka lina item zaiidi ya 70 tofauti utaishia kuhahaa tu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]
Fanya hiv
Hasa kwa duka huwa tunapiga hasa profit in anual( mwaka) basis..
Sales( mauzo yote ya kila siku ya mwaka) - Purchase ( manunuzi yote ya mwaka) = Gross profit
Ili kupata Net profit ambayo ujue mradi wako wa duka umekuingzia mpunga kiac gan then tafuta net profit
Net profit= Gross profit - All cost of running business nayo in anual basis + losses( hasara)..
FANYA STOCK TAKING ambapo utahesabu bidhaa zote ulizonazo dukan na thamani zake ili upate capital ulinayo kwa muda huo( KIlio sana kwa watu wenye duka la item nyingi[emoji2][emoji2][emoji2]) ili uweze kujua mtaji wako ni kiac gan na kama pia mtaji wako unakua au unashuka..
Naposema cost za businees zinacomprise:
●kodi za tra, fremu kama umepanga,maji, umeme, mishahara wanaokusaidia, n.k.. hata kma unaking'amuzi dukani kwako nayo ni cost ya biashara kama duka linakilipia
● hasara nazo zinakua calculated mf. Bidhaa zimeharibika, zimevunjika, zimeexpire, n.k hizo ni hasara lazima ziwe calculated.
Nb: usije ukachukua hela kwenye droo ya pesa ya kuuzia afu mwisho wa siku ukasahau kuongeza iyo pesa kama mauzo ya siku coz utaharibu mahesabu ya mauzo kila siku
Pili, hakikisha una daftari ( zuri zaid coz computer huwa zinacolapse sometimes) la kutunza kumbukumbu za baishara zote..ikiwemo gharama za baishaara, maingizo ya mali, mauzo n.k
Hapo nimetoa njia ya kawaida saaana ambayo siyo ngumu kiivo.. naimani utanielewa
Hiyo ya kusema ni asilimia ngap ya mauzo itabidi upate average ya percentage profit ya kila item then ukipata lets say 10% then utachukua 10% ya mauzo yako let say 200k kwa siku then gross profit itakua 20k.. kwa siku iyo.. kama una mauzo ya mwaka basi total ya mauzo ya mwaka mara 10% ndo itakua *gross profit* ie. Haina cost za biashara... hiyo ni roughly...sio accurate sana ila almost accurate