Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimehakiki Chuo kipo kweli. Naomba nielekeze Namna ya kupata hiyo MasterCard au visa card. Natumia Benki ya CRDBMasterCard or visa card. Yenye tarehe na cvv zake utahakikisha una salio. Utalipa
Nenda Branch ya CRDB watakupa viza card na maelekezi muhimu.Nimehakiki Chuo kipo kweli. Naomba nielekeze Namna ya kupata hiyo MasterCard au visa card. Natumia Benki ya CRDB
Nipo interested kujuwa ni kozi gani huyo unataka kusoma?Naomba msaada tafadhali, maana muda niliopewa ni mdogo
Tumia hata mpesa au airtel mastercard simple tuKuna kozi nataka nisome inayotolewa na Chuo kimoja Cha ujerumani. Sasa wamenielekeza namna ya kulipia ila sijaelewa maana sijawahi Kufanya International transactions. Tafadhali nisaideni. Naambatanisha na screenshot ya maelekezo yao
Nielekeze kakaTumia hata mpesa au airtel mastercard simple tu
Pia kadi yangu ya CRDB imeandikwa Visa cardNipo interested kujuwa ni kozi gani huyo unataka kusoma?
Ingia menu ya mpesa then fungua virtual visa card utatumiwa cvc na tarehe ya kuexipire hio card na card number , Kisha jaza pesa kwenye mpesa yako na uihamishie kwenye visa card yko then lipa kwa kujaza taarifa za card hapo uliposcreenshotKuna kozi nataka nisome inayotolewa na Chuo kimoja Cha ujerumani. Sasa wamenielekeza namna ya kulipia ila sijaelewa maana sijawahi Kufanya International transactions. Tafadhali nisaideni. Naambatanisha na screenshot ya maelekezo yao
Nielekeze kaka