Kwanza fuata ushauri wa
Ng'wanapagi hapo juu.
Hakikisha una kitambulisho cha taifa (NIDA) au ile namba.
Ingia kwenye tovuti ya uhsmiaji, nenda sehem ya kujaza form za maombi ukikamilisha utalipia malipo ya awali na kuprint application yako utakayowasilisha uhamiaji na kulipia 140,000/- kama sikosei.
Hakikisha nyaraka za vyeti vya kuzaliwa zako na wazazi unazo soft copy.
Ukiona mzunguko mrefu, nenda kwenye steshenari zozote karibu na ofisi za uhamisji watakufsnyia huo mchakato wa awamu ya kwanza na huenda wakakuunganisha na watu wa kukupatia msaada zaidi uhamiaji kupata hati upesi.
Barikiwa