Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,459
- 699
Una umri gani? Mke gani usiyejua tarehe za hatari? Muulize kungwi au matron wako, au ingia googleWanajf mwezi January nilianza period tarehe 7,February tar 4 na march hii nimeanza leo tarehe 3 naomba msaada ni tarehe zipi naweza kupata mimba maana niko mbali na mume wangu tunataka tupate mtoto nataka aje cku za hatari ili mimba ipatikane.Naomba kuwasilisha.
Hapati ng'oMimi nitakuja siku ya 19
Nikuletee mbegu za kisasa mimba inashika muda wowote ule ata kama una mimba tayari inakalia juu.Iringa Mimi niko ikwiriri
[emoji28] [emoji28] [emoji28]Hapati ng'o
Heee wewe huo sasa ni Ugonjwa mpyaNikuletee mbegu za kisasa mimba inashika muda wowote ule ata kama una mimba tayari inakalia juu.
Eti ugonjwa..! Mbegu za kisasa hizi wewe [emoji3] [emoji3] [emoji23] bila shaka utakuwa mwalimu eti..Heee wewe huo sasa ni Ugonjwa mpya
Haahaaa mimi ni mwanafunzi WA kila kitu..... ila ilo lako duuh.......So mimba juu ya mimba kupandiana tuu adi zifike ngapi.....But i hope its for the Twins[emoji4]Eti ugonjwa..! Mbegu za kisasa hizi wewe [emoji3] [emoji3] [emoji23] bila shaka utakuwa mwalimu eti..
Twins wenye tofauti ya muda! Anazaliwa anamwacha mwenziwe akikua..!Haahaaa mimi ni mwanafunzi WA kila kitu..... ila ilo lako duuh.......So mimba juu ya mimba kupandiana tuu adi zifike ngapi.....But i hope its for the Twins[emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Twins wenye tofauti ya muda! Anazaliwa anamwacha mwenziwe akikua..!
Nilimanisha mwalimu academic field, maana huwa nina ndoto ya kuoa teacher but siwapati huko kwenu nitampata??[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Teacher kweli[emoji125] [emoji125] [emoji125] ukupenda kuwa teacher??[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu unaishi wapi.....do i luk lyk a teachr...? Aise umenishushia heshima sana tena WA field[emoji134]
Am sorry am not non of them above.....!Director its my job[emoji327] [emoji335]Teacher kweli[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Pole boss! Mbona mnawazalilisha walimu eti nimekushushia title..!Am sorry am not non of them above.....!Director its my job[emoji327] [emoji335]
Yep kwa Bongo ni kazi inayodharaulika sana wakat ndio inatoa professors & professionals....... Wakat kwa wenzetu ndio kazi inayolipa na kuheshimika sana....Eg S.AfricaPole boss! Mbona mnawazalilisha walimu eti nimekushushia title..!
Nimetengeneza android app ipo google play store itakusaidia kutokana na siku ulizoandika mzunguko wako una siku 28, kwenye hiyo app jaza tarehe ya kwanza ya mzunguko wako wa mwisho yan tar 3/4/2017 kisha kwenye urefu wa hedhi weka siku 28 basi itakuonesh ni siku zipi unaweza kupat mimba na zipi huwezi, ina features nyingi kama kukupa notifications siku hiyo ikikaribia. Pia ina lugha ya kiswahili na EnglishWanajf mwezi January nilianza period tarehe 7,February tar 4 na march hii nimeanza leo tarehe 3 naomba msaada ni tarehe zipi naweza kupata mimba maana niko mbali na mume wangu tunataka tupate mtoto nataka aje cku za hatari ili mimba ipatikane.Naomba kuwasilisha.
Ndiyo maana Tanzania imedumaa na itabaki kuwa mkomao mpaka tuache kubemenda elimu..!Yep kwa Bongo ni kazi inayodharaulika sana wakat ndio inatoa professors & professionals....... Wakat kwa wenzetu ndio kazi inayolipa na kuheshimika sana....Eg S.Africa