Liutenant
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 590
- 899
Habari wana JF!
Ninataka kununua basi kubwa la abiria 41 kwa ajili ya usafiri wa daladala hapa dar kutoka kampuni ya eicher. Naomba kujulishwa namna ya kupata TLB kwa sasa, je kuna usumbufu wowote? Kuna zuio lolote kwa sasa (maana kuna wakati nilisikia wanakataa kutoa TLB)
Gharama za utaratibu huo zikoje?
(Nitakuwa nalisimamia kwa karibu hilo gari mimi mwenyewe na hivyo sitarajii stori za madereva kuleta hasara)
Natanguliza shukrani za dhati.
Ninataka kununua basi kubwa la abiria 41 kwa ajili ya usafiri wa daladala hapa dar kutoka kampuni ya eicher. Naomba kujulishwa namna ya kupata TLB kwa sasa, je kuna usumbufu wowote? Kuna zuio lolote kwa sasa (maana kuna wakati nilisikia wanakataa kutoa TLB)
Gharama za utaratibu huo zikoje?
(Nitakuwa nalisimamia kwa karibu hilo gari mimi mwenyewe na hivyo sitarajii stori za madereva kuleta hasara)
Natanguliza shukrani za dhati.