bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Inavuta tela lenye jembe za kuvuruga au pump za kupuliza dawa.Gari haiwezi kuvuruga, kumwaga mbolea Wala dawa mzee
Unaongelea gari kwanza inayoweza kutembea kwenye tope!?Inavuta tela lenye jembe za kuvuruga au pump za kupuliza dawa.
Watu wapo juu sana kwenye ubunifu.
Kama Sina milioni 60 za kununua treka,nanunua Landover kwa milioni tatu nafanya kazi zote za treka kwa kulimodify
Please DMSalamu kwenu,
Kwa wataalamu wa matrekta, tusaidizane namna ya kupata trekta ya mtumba aina ya Massey Ferguson 165, bei yake kwa hapa nchini tanzania, ikiwa na mpini wake. Ili nianze kuseti mipango ya kuipata pesa.
Shukrani kwenu.
Shukrani mkuu, ngoja ni wa Google nipatie abc zaoRiverside ubungo wamejaa dealers WA used,na Massey za Pakistan,ilala boma yupo dealer WA used.
New na mkopo nenda Nyerere Rd kuanzia vigunguti hadi kabla ya Jet kushoto Pana ajent wa treka za Case,
Massey,new Holland, John Deere za India,vingunguti jipange kuanzia milioni 30.
Kubota wapo kamata,
Swaraj, Mahindra vingunguti jengo la blue Sapphire.
Mo vingunguti ana trekta za TAFE ya India na Chinese tractors.
Zaidi google Tanzania tractor dealers utapata contact zao.
30m ni pamoja na mpini wake?Riverside ubungo wamejaa dealers WA used,na Massey za Pakistan,ilala boma yupo dealer WA used.
New na mkopo nenda Nyerere Rd kuanzia vigunguti hadi kabla ya Jet kushoto Pana ajent wa treka za Case,
Massey,new Holland, John Deere za India,vingunguti jipange kuanzia milioni 30.
Kubota wapo kamata,
Swaraj, Mahindra vingunguti jengo la blue Sapphire.
Mo vingunguti ana trekta za TAFE ya India na Chinese tractors.
Zaidi google Tanzania tractor dealers utapata contact zao.
Mkuu huna picha utuwekee tujifunze huo utundu?Inavuta tela lenye jembe za kuvuruga au pump za kupuliza dawa.
Watu wapo juu sana kwenye ubunifu.
Kama Sina milioni 60 za kununua treka,nanunua Landover kwa milioni tatu nafanya kazi zote za treka kwa kulimodify
Ukiingia google zimejaaMkuu huna picha utuwekee tujifunze huo utundu?
Tractor pekee Tena hii ni ndogo HP 25 hadi 30 mpini kuanzia 5milioni.30m ni pamoja na mpini wake?
Mkuu nimepata namba zao Google, kupiga inaniletea South Africa, ni kweli wanapatikana huko?Riverside ubungo wamejaa dealers WA used,na Massey za Pakistan,ilala boma yupo dealer WA used.
New na mkopo nenda Nyerere Rd kuanzia vigunguti hadi kabla ya Jet kushoto Pana ajent wa treka za Case,
Massey,new Holland, John Deere za India,vingunguti jipange kuanzia milioni 30.
Kubota wapo kamata,
Swaraj, Mahindra vingunguti jengo la blue Sapphire.
Mo vingunguti ana trekta za TAFE ya India na Chinese tractors.
Zaidi google Tanzania tractor dealers utapata contact zao.
Dar wapo wauzaji wengi lakini uwe na fundi unaemuaniki,mafundi wa matreka wao wanazijua vizuri.
Hazina changamoto yoyote kikubwa ni matunzo. Nimezitumia sana ni mashine ya kazi haswa.New holland 75hp za suma jkt zinachangamoto gani mwenye kuzijua?Nampango wa kuichukua.
Hazina changamoto yoyote kikubwa ni matunzo. Nimezitumia sana ni mashine ya kazi haswa.
Tafuta MF ya UK au Afrika Kusini. Kisha uje kunishukuru.Vip na Massey za dubai na oman?
Kwanini usiende kwa Sonalink. Naona km wapo vizuri.New holland 75hp za suma jkt zinachangamoto gani mwenye kuzijua?Nampango wa kuichukua.
Hili swali najiuliza mara 1000 sijapata jibu.Unaongelea gari kwanza inayoweza kutembea kwenye tope!?