lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
Habari viongozi..
Mwenye details kamili juu ya namna ya kuweza kusafirisha bidhaa ndogo ndogo kama simu, laptops na mengineyo kutoka Malaysia.. ni njia gani huwa mnatumia ambayo ni Safe zaidi bila gharama..
Msaada mliopo Malaysia mnawatumia vipi ndugu zenu bidhaa huku.. pia tuliopo bongo ni namna gani mnatumiwa kutoka huko.
Mwenye details kamili juu ya namna ya kuweza kusafirisha bidhaa ndogo ndogo kama simu, laptops na mengineyo kutoka Malaysia.. ni njia gani huwa mnatumia ambayo ni Safe zaidi bila gharama..
Msaada mliopo Malaysia mnawatumia vipi ndugu zenu bidhaa huku.. pia tuliopo bongo ni namna gani mnatumiwa kutoka huko.