john johns
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 113
- 64
Wanajukwaa naomba mwenye kujua namna ya kutofautisha yai la kuku ni lipi la kisasa na ni lipi la kienyeji kwa kuliangalia tuuu mwonekano wa nje. Msaada tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni kweli ila haya ya huku Tz ya kisasa naona hayana kiini cha njanoMayai ya kienyeji huwa yana rangi hii
View attachment 538005 View attachment 538006
Mayai ya kizungu yapo hivi
View attachment 538008
Joseverest issa mweusi john johns
Kwaio mayai yote ya kisasa yana rangi hiyo???Mayai ya kienyeji huwa yana rangi hii
View attachment 538005 View attachment 538006
Mayai ya kizungu yapo hivi
View attachment 538008
Joseverest issa mweusi john johns
Kwaio mayai yote ya kisasa yana rangi hiyo???
Yeah ni kweli ila haya ya huku Tz ya kisasa naona hayana kiini cha njano
True NumbisaYana kiini hicho cha njano ila yakichemshwa au kukaangwa hio njano inafifia wakati ya kienyeji njao inakolea zaidi
Mfano mzuri Angalia chips mayai za mitaan wengi wanatumia ya kisasa hivyo njano ya kiini inakua imefifia
Unjano hauko sawa mkuu, tena kwa sababu moja kubwa, yai la kienyeji mara nyingi tunakula ambayo yame rutubiwa (yana kifaranga) na Unjano uliokolea ni ajili ya uwepo wa damu.., ilhali ya kizungu waga hayaja rutubiwa (hayana kifaranga) hivo yanakuwa hayana damu na mwisho wake yanapoteza ule Unjano uliokoleaYana kiini hicho cha njano ila yakichemshwa au kukaangwa hio njano inafifia wakati ya kienyeji njao inakolea zaidi
Mfano mzuri Angalia chips mayai za mitaan wengi wanatumia ya kisasa hivyo njano ya kiini inakua imefifia
Unjano hauko sawa mkuu, tena kwa sababu moja kubwa, yai la kienyeji mara nyingi tunakula ambayo yame rutubiwa (yana kifaranga) na Unjano uliokolea ni ajili ya uwepo wa damu.., ilhali ya kizungu waga hayaja rutubiwa (hayana kifaranga) hivo yanakuwa hayana damu na mwisho wake yanapoteza ule Unjano uliokolea
Haaaah ili ajue lipi la kisasa lazima a test hivi..Mayai ya kisasa yandunda kama kitenesi
Unabisha kimazoea mkuu, haya mayai tunayokula ya kizungu hayaja rutubishwa, uli ule yai la kizungu ambalo limerutubishwa itabidi uwe na kuku wa kizungu wanaoitwa 'breeders' hawa hupandwa na majogoo, hawa wapo tu kwenye company zinazojishugulisha na utotoleshaji wa hawa kuku wa kizungu wanaotuletea mayai ya kukaangia chips yani layers ambao wao hawapandwi ili kurutubisha mayai yao, so sisi tunakula yasiyokuwa na vifarangaHapana si kweli,hapa ninapoishi kuna kuku wa kienyeji. Nishakula yai\mayai ya siku moja i mean yametoka kutagwa siku hio, u njano upo kama kawaida. Yai lenye kifaranga au dalili ya kifaranga huwa kiini ni chepesi sana hakishikan kabisaaa
Kingine mkuu yai la kizungu ndio linatoa kuku wa kizungu hivyo nalo lina rutuba pia na expire time