MSAADA:Namna ya kutofautisha yai la kienyeji na kisasa

MSAADA:Namna ya kutofautisha yai la kienyeji na kisasa

Kumbe mmepitwa na wakati kiini cha njano huletwa na kuku kula majani siku hizi kuku wakisasa wanapewa majani kwa wingi na unauziwa mayai bei ya kienyeji

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Mkuu lutataza afadhari umesema kweli. Nacheka watu wanapokariri kuwa yai la kuku wa kisasa lina kiini cha njano kufifia.
RANGI YA KIINI NI CHAKULA ANACHOKULA KUKU JAMANI.
Mimi nafuga saso kienyeji, nawapa pumba kidogo, sijawafungia hivyo muda mwingi wanakula magugu, mabaki ya mboga majani na mabaki ya chakula sababu kuna dampo, kiini cha mayai ni njano kali sana.
Lakini kuku ukimfungia ukamlisha chakula cha kuchanganya tu basi lazima kiini kisiwe cheupe.
Na wafugaji wamegundua hili kama fursa. Anafuga layers, anawapa majani kila siku wanataga mayai ya kiini cha njano then anauza mayai kwa bei ya mayai ya kienyeji be careful

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mimi sometimes nashindwa kutofautisha mpaka livunjwe nione kiini cha njano (kienyeji) na cheupe (kisasa)
wewe unafaa kuibiwa kwa kuuziwa mayai ya kuku wa kisasa kwa bei ya mayai ya kuku wa kienyeji, kama unaangalia kiini, hata ya kisasa huwa na kiini cha njano wakipewa majani.

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
wewe unafaa kuibiwa kwa kuuziwa mayai ya kuku wa kisasa kwa bei ya mayai ya kuku wa kienyeji, kama unaangalia kiini, hata ya kisasa huwa na kiini cha njano wakipewa majani.

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
nikija kununua kwako usiniibie tafadhali [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom