Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Hapo pichani ni Submeter ya Umeme niliyoikuta kwenye nyumba ya kupanga
Ina namba ya mita yenye tarakimu sawa na ya TaNeSCo.
Naomba kufahamu Inafanyaje kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka Kuitumiaje??View attachment 3185330
Hapo pichani ni Submeter ya Umeme niliyoikuta kwenye nyumba ya kupanga
Ina namba ya mita yenye tarakimu sawa na ya TaNeSCo.
Naomba kufahamu Inafanyaje kazi
Ninaponunua umeme natunia namba za mita hii ndogo au Ile ya TaNeSCo?Navojua ufaa sana kwa wapangaji,lengo lake kuu huwa nikuondoa utata katika matumizi ya umeme kati ya mpangaji na mpangaji mwenzake,ili yoyote asionewe,alipe hela kulingana na matumizi yake.
Ahsante Sasa mkuuHiyo sub meter inatumika kusoma matumizi ya umeme kwenye chumba chako, ukinunua umeme wa elf kumi, yenyewe itasoma unavyotumia, ni nzuri sana kwa wapangaji unalipa ulichotumia.
Namna ya kusoma.
ukinunua umeme record Unit ulizopata, mfano ni unit 28, hiyo meter itaanza kusoma namna unavyotumia mpaka zinapofika unit 28 unajua umeme uliobuniwa umeisha. binafsi nilinunua umeme wa elf10 mwezi wa tatu, nimekuja kununua umeme wa elf 10 tena mwez wa tisa
karibuAhsante Sasa mkuu