Billionaire wa Betting JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 1,086 Reaction score 2,179 Dec 17, 2022 #1 Wakuu heshima kwenu, Naomba kufahamu authorized dealers au hata waagizaji wa magari kutoka USA kwa hapa Bongo.
Wakuu heshima kwenu, Naomba kufahamu authorized dealers au hata waagizaji wa magari kutoka USA kwa hapa Bongo.
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 12,846 Reaction score 28,106 Dec 17, 2022 #2 Pesa yakoo
Mapfa A JF-Expert Member Joined Jan 9, 2015 Posts 250 Reaction score 259 Dec 23, 2022 #3 TOYOTA TANZANIA, CFAO MOTORS, CMC Automobile Ltd n.k zote zipo hapa bongo Hata ukitaka gari ya 2023 utapata mkuu. Ni mfuko wako Tu.
TOYOTA TANZANIA, CFAO MOTORS, CMC Automobile Ltd n.k zote zipo hapa bongo Hata ukitaka gari ya 2023 utapata mkuu. Ni mfuko wako Tu.
I Interlacustrine E JF-Expert Member Joined Jun 3, 2020 Posts 3,397 Reaction score 6,015 Dec 23, 2022 #4 Amerigo Vespucci said: Wakuu heshima kwenu, Naomba kufahamu authorized dealers au hata waagizaji wa magari kutoka USA kwa hapa Bongo Click to expand... Bongo hii hii kabisa Chifu sidhani, hakuna harufu ya uchakachuaji kweli? Naamini ya kuagizia kiwandani 1 kwa 1 ndiyo uhakika zaidi.
Amerigo Vespucci said: Wakuu heshima kwenu, Naomba kufahamu authorized dealers au hata waagizaji wa magari kutoka USA kwa hapa Bongo Click to expand... Bongo hii hii kabisa Chifu sidhani, hakuna harufu ya uchakachuaji kweli? Naamini ya kuagizia kiwandani 1 kwa 1 ndiyo uhakika zaidi.
Vesuvius JF-Expert Member Joined Jun 27, 2021 Posts 2,478 Reaction score 5,102 Dec 23, 2022 #5 Interlacustrine E said: Bongo hii hii kabisa Chifu sidhani, hakuna harufu ya uchakachuaji kweli? Naamini ya kuagizia kiwandani 1 kwa 1 ndiyo uhakika zaidi. Click to expand... 🤣🤣unaanzaje kuagiza kiwandani? Kwamba mawakala huwaoni? Ama unataka lililotengenezwa maalumu kwa ajili yako?
Interlacustrine E said: Bongo hii hii kabisa Chifu sidhani, hakuna harufu ya uchakachuaji kweli? Naamini ya kuagizia kiwandani 1 kwa 1 ndiyo uhakika zaidi. Click to expand... 🤣🤣unaanzaje kuagiza kiwandani? Kwamba mawakala huwaoni? Ama unataka lililotengenezwa maalumu kwa ajili yako?
Mapfa A JF-Expert Member Joined Jan 9, 2015 Posts 250 Reaction score 259 Dec 25, 2022 #6 Vesuvius said: [emoji1787][emoji1787]unaanzaje kuagiza kiwandani? Kwamba mawakala huwaoni? Ama unataka lililotengenezwa maalumu kwa ajili yako? Click to expand... Hata serikali ya Tanzania Hainunui kiwandani, Inamtumia agent ambaye ni TOYOTA TANZANIA sembuse mtu binafsi tena kwa gari ya kawaida? Labda ununue CUSTOMIZED Car yenye jina lako Kama wanavyofanya kwenye magari ya Kifahari akina Lambogini n.k
Vesuvius said: [emoji1787][emoji1787]unaanzaje kuagiza kiwandani? Kwamba mawakala huwaoni? Ama unataka lililotengenezwa maalumu kwa ajili yako? Click to expand... Hata serikali ya Tanzania Hainunui kiwandani, Inamtumia agent ambaye ni TOYOTA TANZANIA sembuse mtu binafsi tena kwa gari ya kawaida? Labda ununue CUSTOMIZED Car yenye jina lako Kama wanavyofanya kwenye magari ya Kifahari akina Lambogini n.k
Mzee Kigogo JF-Expert Member Joined Jun 3, 2018 Posts 9,968 Reaction score 16,680 Dec 29, 2022 #7 Njoo pm