Za leo ndugu wapendwa ninaomba msaada wenu ni na dalili za mimba ila nimeona siku zangu miezi miwili mfululizo na mwezi wa kwanza nilipima sikua na mimba maziwa yanakua yamoto nahisi maumivu kwa mbali sana na kauvimbe ka mbali sitapiki sihisi kichefuchefu ila mwanzo nilikua nalala sana je ninauwezekano wa kua na mimba