Katkit JF-Expert Member Joined Mar 12, 2023 Posts 1,893 Reaction score 4,641 Jun 18, 2023 #21 Scolari said: Nimeona mzumbe wao wako open kwenye application Click to expand... Apply
hip hop uchwara JF-Expert Member Joined Jan 13, 2023 Posts 2,616 Reaction score 1,282 Jul 15, 2024 #22 Asee
Yesu Anakuja JF-Expert Member Joined Apr 10, 2019 Posts 12,675 Reaction score 25,924 Jul 15, 2024 #23 Scolari said: Wasalaam wakuu...... Kama kichwa cha habari kinavyojieleza waungwana naomba kujuzwa Ada kwa vyuo vikuu vya serikali ni kiasi gani kwa undergraduate degree program yaani ile tunasemaga digrii Click to expand... ni ndogo sana, ni kama hizi tunalipia watoto wetu shule za english medium, nalipia watoto 6 primary. ada inazidi hata wale wa chuo.
Scolari said: Wasalaam wakuu...... Kama kichwa cha habari kinavyojieleza waungwana naomba kujuzwa Ada kwa vyuo vikuu vya serikali ni kiasi gani kwa undergraduate degree program yaani ile tunasemaga digrii Click to expand... ni ndogo sana, ni kama hizi tunalipia watoto wetu shule za english medium, nalipia watoto 6 primary. ada inazidi hata wale wa chuo.
hip hop uchwara JF-Expert Member Joined Jan 13, 2023 Posts 2,616 Reaction score 1,282 Jul 15, 2024 #24 Yesu Anakuja said: ni ndogo sana, ni kama hizi tunalipia watoto wetu shule za english medium, nalipia watoto 6 primary. ada inazidi hata wale wa chuo. Click to expand... Mkuu utakuwa kwenye litaasisi likubwa unakunja mpunga mkubwa
Yesu Anakuja said: ni ndogo sana, ni kama hizi tunalipia watoto wetu shule za english medium, nalipia watoto 6 primary. ada inazidi hata wale wa chuo. Click to expand... Mkuu utakuwa kwenye litaasisi likubwa unakunja mpunga mkubwa
Yesu Anakuja JF-Expert Member Joined Apr 10, 2019 Posts 12,675 Reaction score 25,924 Jul 15, 2024 #25 hip hop uchwara said: Mkuu utakuwa kwenye litaasisi likubwa unakunja mpunga mkubwa Click to expand... biashara tu mkuu, huko tulishatoka.
hip hop uchwara said: Mkuu utakuwa kwenye litaasisi likubwa unakunja mpunga mkubwa Click to expand... biashara tu mkuu, huko tulishatoka.