Msaada: Naomba kujuzwa dawa ya kuua na kufukuza popo

Msaada: Naomba kujuzwa dawa ya kuua na kufukuza popo

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
1,271
Reaction score
1,604
Nyumba yangu kuna popo wanajificha kwenye mbao nilizoezekea. Wanakera sana, nitumie dawa gani jamani?
 
Dawa ziko nyingi, japo Kwa ushauri ni Bora ukafanya farmigation nyumba nzima ili uondoe kabisa ao wadudu, dawa hizo ni kama
(dudu all, fly killer, nogozone ec,NUVAN 500ec, driver 500ec)
Mimi pia nauza hizi na kufanya farmigation kwenye ofisi na majumbani, karibuni sana..
 
Dawa ziko nyingi, japo Kwa ushauri ni Bora ukafanya farmigation nyumba nzima ili uondoe kabisa ao wadudu, dawa hizo ni kama
(dudu all, fly killer, nogozone ec,NUVAN 500ec, driver 500ec)
Mimi pia nauza hizi na kufanya farmigation kwenye ofisi na majumbani, karibuni sana..
Ofisi Yako Iko wapi?
 
Nyumba yangu kuna popo wanajificha kwenye mbao nilizoezekea. Wanakera sana, nitumie dawa gani jamani?
Umepiga fisher boards? Nilikuwa na hili tatizo ila niliamua kupiga Fisher boards likaisha lakini siku ya kupiga Fisher boards fundi alipanda juu kuwafukuza.
 
Umepiga fisher boards? Nilikuwa na hili tatizo ila niliamua kupiga Fisher boards likaisha lakini siku ya kupiga Fisher boards fundi alipanda juu kuwafukuza.
Fisherbord imepigwa ila wanapenye kwenye bati ya migongo mikubwa na midogo
 
Macho ya popo yana rodi na coni.

Coni Kwa ajiri ya rangi. Coni zao ni dhaifu, huogopa mwanga kama albinos.
Funga taa, iwashe saa za jioni ili darini pawe na mwanga mkali kuliko nje, watatoka wengi sana. Ikifika asubuhi warudi watakutana na mwanga mkali kuliko wa nje hivyo watarudi kwenye miti huko nje, utatatua tatizo Hilo.
 
Back
Top Bottom