Msaada naomba kujuzwa haki ya Mzee wangu

Msaada naomba kujuzwa haki ya Mzee wangu

palesh pizoo

Senior Member
Joined
Apr 14, 2018
Posts
131
Reaction score
223
Wakuu nawasilimu.

Samahani na poleni kwa majukumu, naomba niende kwenye point. Kuna mzee wangu alikuwa na mwanamke aliyeishi naye kinyumba(Kama wapenzi) tangu 2009 bila ya kufunga ndoa (alitoa pesa ya barua tu) na wakadumu kwa muda wa miaka mitano wakiwa pamoja had mwaka 2014 yule mwanamke aliamua kuondoka mwenyew pale nyumbani kwa yule mzee akiwa hajaunda kitu chochote cha kudumu na yule mzee.

Maisha yaliendelea na yule mzee akapata ustaafu mwaka 2016 baada ya kustaafu akaoa kisheria kabisa mwanamke mwingine ambye anaishi naye hadi sasa. Shida imetokea mwanzoni mwa mwaka huu yule mwanamke aliyeondoka 2014 ambaye hakumwoa kisheria amefungua kesi kuwa anahitaji huduma au fidia kwa muda aliokuwa anatumika kwake alipwe fidia. Ombi langu kwenu wakuu naomba kujua kifungu kipi kinamruhusu huyu mama kuomba fidia hali ya kuwa hakumwoa kisheria na huyu mzee hakumfukuza na hawakuunda mali yoyote ile na hawajazaa hata mototo mmoja?

MSAADA WENU TAFADHALI.
 
Hayo mengine yaweza kuwa sawa ila futa hiyo point kuwa hakumuoa kisheria. Walishaishi miaka 5, hiyo ni ndoa kamili mbele ya macho ya sheria. Na alivyoondoka mwenyewe mzee alitakiwa adai talaka.

Sent from my Redmi Note 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Hayo mengine yaweza kuwa sawa ila futa hiyo point kuwa hakumuoa kisheria. Walishaishi miaka 5, hiyo ni ndoa kamili mbele ya macho ya sheria. Na alivyoondoka mwenyewe mzee alitakiwa adai talaka.

Sent from my Redmi Note 6 Pro using JamiiForums mobile app
sawa asante. Je ni sahihi kuomba fidia na wameachana baada ya miaka sita ndo anataka fidia?
 
Mwanamke huyo atapoteza hakuna ndoa lkn pia hakuna atakachodai
 
Back
Top Bottom