Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 668
Habari wanajamvi, nimetokea kuwa na interest na maswala ya umeme hasa huu wa nyumbani, natamani nijue jinsi unavyofanya kazi na jinsi navyoweza kuunga nyaya(kufanya wiring) kuanzia jinsi umeme unavyoingia kwenye mita na unavyoendelea mbele.
Nataka niwe expert ili nami nianze kufanya wiring kwenye nyumba na kufanya marekebisho, troubleshooting and resolution of faults. Kwahiyo kwa yeyote mwenye materials (e-books or any kind of it) anipatie au mwenye anajua site nzuri ninayoweza kujifunza hii kitu please I humbly request for that.
Naomba kuwasilisha.
Nataka niwe expert ili nami nianze kufanya wiring kwenye nyumba na kufanya marekebisho, troubleshooting and resolution of faults. Kwahiyo kwa yeyote mwenye materials (e-books or any kind of it) anipatie au mwenye anajua site nzuri ninayoweza kujifunza hii kitu please I humbly request for that.
Naomba kuwasilisha.