Msaada: Naomba materials ya kujifunza electric domestic wiring/ wiring ya umeme wa nyumbani

Msaada: Naomba materials ya kujifunza electric domestic wiring/ wiring ya umeme wa nyumbani

Umesoma kombi gani? Kuna mwingine aliniambia eti kasoma chuo.Nikamuuliza hebu ntajie aina mbili za transistor akachemka nikamuona n mbambaishaji nikampotezea maana ningepoteza bando yangu bure.
Mi nilisoma PCM Minaki nilimaliza 2015, ila sikufich nilikuwa mzugaji sana na mambo ya electricity ya advance siwez kukumbuka sana ila nikisoma vitabu na kurivise inaweza kuwa poa!
 
Mi nilisoma PCM Minaki nilimaliza 2015, ila sikufich nilikuwa mzugaji sana na mambo ya electricity ya advance siwez kukumbuka sana ila nikisoma vitabu na kurivise inaweza kuwa poa!
Nimekumbuka title inaiwa Nelkon ana hip circuit na hats Abbot ya o- level inayo hip circuit ila unatakiwa update vitabu vilivyospecialize electronics na electrical ndio utaelewa vizuri na use karibu na fundi umeme ambaye utaenda nae saiti na kupata uzoefu.Kama unataka uingie kwenye umeme unatakiwa ujue theory za umeme kwa ujumla ili uweze Ku repair hata vifaa vya umeme kama Pasi,feni,Brenda za juisi, motor za machine nk.
 
Nimekumbuka title inaiwa Nelkon ana hip circuit na hats Abbot ya o- level inayo hip circuit ila unatakiwa update vitabu vilivyospecialize electronics na electrical ndio utaelewa vizuri na use karibu na fundi umeme ambaye utaenda nae saiti na kupata uzoefu.Kama unataka uingie kwenye umeme unatakiwa ujue theory za umeme kwa ujumla ili uweze Ku repair hata vifaa vya umeme kama Pasi,feni,Brenda za juisi, motor za machine nk.
Dah thanks braza
 
Ukisuka nyumba yoyote lazima ikaguliwe na mhandisi na atoe kibali, hivyo kazima awe karibu na wahandisi was umeme.Mafundi kazi yao kusuka na mhandisi kukagua.
Ni wapi huko mkuu wahandisi wanaenda kukagua izo wiring?
 
Ni wapi huko mkuu wahandisi wanaenda kukagua izo wiring?
Nyumba yoyote lazima ikaguliwe, au wewe unejisukia tu umeme halafu ujalipa Tanesco wakaja kukuingizia? Basi utakuwa muumini wa kutoa kitu kidogo bila kufuata sheria.
 
Nyumba yoyote lazima ikaguliwe, au wewe unejisukia tu umeme halafu ujalipa Tanesco wakaja kukuingizia? Basi utakuwa muumini wa kutoa kitu kidogo bila kufuata sheria.

ukilipa Tanesco wanakuja wanaunga, hakuna cha ukaguzi wala babu yake ukaguzi

miaka flani walikua wanacheki kama umeweka RCD
 
Kwa hip hata nyumba ikiungua huna was kumdai si ndio.What I know susla lolote LA kiufundi lazima liwe approved.Hata nyumba unatakiwa ikaguliwa kuanzia ramani mpaka paa.Kwa hio taratibu kutofuatwa sio uhalali au kibali cha watu wjifanyie wanavyotaka.Ipo siku watu watakuja kukuambia BOMOA! Kuna watu wanawekeza pesa nyingi ktk kujenga hivyo hawaendi ubavyoenda wewe.
 
Back
Top Bottom