Msaada: Naomba mbinu za kujiandaa na written interview utumishi

Msaada: Naomba mbinu za kujiandaa na written interview utumishi

Brightly

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2022
Posts
391
Reaction score
623
Habarii wakuu;

Naombenii msaada Mbinu za kujiandaa na written interview utumishi vitu gani unatakiwa kuvizingatiaa zaidii?
 
 
Habarii wakuu,

Naombenii yeyote mwenye uzoefu Mbinu ya kujiandaa na written interview utumishi hasa kwa kada ya civil technician maake ni ngumu kusoma vitu vyote vya mwaka wa kwanza hadi wa tatu pasipokujuaa area of concentration na Mungu atakubariki.

Ahsanteni sana.
 
Habarii wakuu,

Naombenii yeyote mwenye uzoefu Mbinu ya kujiandaa na written interview utumishi hasa kwa kada ya civil technician maake ni ngumu kusoma vitu vyote vya mwaka wa kwanza hadi wa tatu pasipokujuaa area of concentration na Mungu atakubariki.

Ahsanteni sana.
Ni kweli huwezi kusoma kila kitu ila unaweza kusoma vitu vichache ambavyo ni muhimu tu, bahati mbaya huwezi kupata au ni ngumu kupata mtu atakaekupa maswali

Mkuu kwenye kila course waga kuna maswali yale ya general knowledge, hawatoi maswali magumu sana wala mepesi sana inategemea tu na naww kichwa kina material kiasi gani

Kwahiyo ata wewe huko kwenye civil technician yako lazima kuna vitu vya ulazima/msingi lazima uvijue ili ujitofautishe wewe na mtu ambae hajaenda shule ila anafanya kazi kwa mazoea

Soma vitu ambavyo kutokana na taaluma yako ni vya ulazima kuvijua, achana na ambavyo havina msaada wowote kwenye kazi yako maana mitaala yetu ya elimu imejaa vitu ambavyo havina maana
 
Ni kweli huwezi kusoma kila kitu ila unaweza kusoma vitu vichache ambavyo ni muhimu tu, bahati mbaya huwezi kupata au ni ngumu kupata mtu atakaekupa maswali

Mkuu kwenye kila course waga kuna maswali yale ya general knowledge, hawatoi maswali magumu sana wala mepesi sana inategemea tu na naww kichwa kina material kiasi gani

Kwahiyo ata wewe huko kwenye civil technician yako lazima kuna vitu vya ulazima/msingi lazima uvijue ili ujitofautishe wewe na mtu ambae hajaenda shule ila anafanya kazi kwa mazoea

Soma vitu ambavyo kutokana na taaluma yako ni vya ulazima kuvijua, achana na ambavyo havina msaada wowote kwenye kazi yako maana mitaala yetu ya elimu imejaa vitu ambavyo havina maana
Nashukuru saana kwa ushaurii wako mzurii mkuu ubarikiwe
 
Kwenye Kila course huwa Kuna core subject linaloshikilia course nzima unayosomea...mfano mtu wa HR core ni labour law. jaribu pitia core subject ya ulichosomea
 
Hapo unachohitaji ni SPEED ya Hypersonic!
Maana maswali ni machache (05) ila yana vipengele vingi na muda ni mchache sana (45-60 Min).
Unachotakiwa ukiona swali hujalielewa vizuri liache nenda linalofuata sababu ya Muda.
 
Back
Top Bottom