Msaada: Naomba msaada wa mwanasheria yoyote ambaye atajitolea kunisaidia katika hili

Msaada: Naomba msaada wa mwanasheria yoyote ambaye atajitolea kunisaidia katika hili

sawa mume wangu na mie mama watoto nifungulie saloon kuku na bata hair saloon nijishughulishe,lazima tuzimake mwaka huu.... :llama:
 
sawa mume wangu na mie mama watoto nifungulie saloon kuku na bata hair saloon nijishughulishe,lazima tuzimake mwaka huu.... :llama:

Usijali kipenzi cha moyo wangu, mi na wewe tena? Kwa jinsi ninavyokupenda siwezi hapana kwa kitu chochote juu yako.
 
sawa mume wangu na mie mama watoto nifungulie saloon kuku na bata hair saloon nijishughulishe,lazima tuzimake mwaka huu.... :llama:
@jestina umeshapata mume humu jamii forums?

Usijali kipenzi cha moyo wangu, mi na wewe tena? Kwa jinsi ninavyokupenda siwezi hapana kwa kitu chochote juu yako.
@Young_Master nitamuambia shemeji yangu mke wako umeongeza mke ndani ya jamii forums kazi kwako sijuwi mama nanii (mke wako) utamuacha kwa sababu umepata mke mpya jamiiforums? MMMhhhh :nono:
 
Jestina umeshapata mume humu jamii forums?
Young_Master nitamuambia shemeji yangu mke wako umeongeza mke ndani ya jamii forums kazi kwako sijuwi mama nanii (mke wako) utamuacha kwa sababu umepata mke mpya jamiiforums? MMMhhhh :nono:

Saa mkuu mbona unataka kunichomea utambi kwa shemeji yako? Sasa akiniacha mimi ntalea na nani watoto wote hao wakati watoto wenyewe wengi utadhani matofali ya kuchoma bwana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom