Great_whiz
Member
- Aug 3, 2022
- 19
- 29
Habari JF,
Mimi ni mwanachuo ninaesoma chuo fulani hapa Dar es Salaam, naomba ushauri wenu wapendwa. Yeyote mwenye wazo zuri la biashara ambalo haitoathiri muda mwingi wa masomo naomba nijue, na mtaji wake ni kiasi gani ili niongeze kipato changu na kupata uzoefu wa biashara kabla sijamaliza chuo, ili nisiwe tegemezi.
Ahsanteni sana, karibu kwa ushauri [emoji120][emoji120]
Mimi ni mwanachuo ninaesoma chuo fulani hapa Dar es Salaam, naomba ushauri wenu wapendwa. Yeyote mwenye wazo zuri la biashara ambalo haitoathiri muda mwingi wa masomo naomba nijue, na mtaji wake ni kiasi gani ili niongeze kipato changu na kupata uzoefu wa biashara kabla sijamaliza chuo, ili nisiwe tegemezi.
Ahsanteni sana, karibu kwa ushauri [emoji120][emoji120]