Great_whiz
Member
- Aug 3, 2022
- 19
- 29
Chupi za kike chuoni mtaji hauzidi laki moja inatosha kabisa.. Faida ni zaidi ya mara mbili ya mtajiHabari JF
Me ni mwanachuo ninaesoma chuo fulani hapa dar es salaam naomba ushauri wenu wapendwa yeyote mwenye idea nzuri ya biashara ambayo haitoathiri muda mwingi wa masomo naomba nijue na capital yake ni kiasi gani ili niongeze kipato changu na kupata uzoefu wa biashara kabla sijamaliza chuo ili nisiwe tegemezi.
Ahsanteni sana karibu kwa ushauri [emoji120][emoji120]
Nashukuru sana kiongozi[emoji120]Chupi za kike chuoni mtaji hauzidi laki moja inatosha kabisa.. Faida ni zaidi ya mara mbili ya mtaji
Asisahau na pampasi maana vyuoni mashoga n wengi marinda yao yapo waz so mahtaj ya pampas n makubwaChupi za kike chuoni mtaji hauzidi laki moja inatosha kabisa.. Faida ni zaidi ya mara mbili ya mtaji
Kama huna la kusema ni bora ukaushe mzee kama vp anzisha thread yako ya mashoga[emoji57][emoji57]Asisahau na pampasi maana vyuoni mashoga n wengi marinda yao yapo waz so mahtaj ya pampas n makubwa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Duh[emoji3]Asisahau na pampasi maana vyuoni mashoga n wengi marinda yao yapo waz so mahtaj ya pampas n makubwa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hili ndio wazo bora zaidi,kuna mdau wangu mmoja alikuwa anawafanyia assignments wamafunzi wenzake alikuwa anapiga hela.Jikite katika namna ya kuweza kuwasaidia wanachuo kufanya assignment zao. Kama vile typing, editing maana wana chuo wengi wavivu na wanapenda bata.
Biashara za online mfano simu, nguo, chupi viatu, karanga na mengineyo wengi wanafanya unaweza fanya pia.
Jitangaze
Mr mshana ile biashara ya oil chafuu haitafaaa Kwa wanachuoDuh[emoji3]
Najua sio kosa lako Mungu akusamehe ndugu yanguUza marijuana utakuja kunishukuru baadae
Ahsantee sana mkuu Mungu akubariki hili ni bonge la idea aisee[emoji120]Jikite katika namna ya kuweza kuwasaidia wanachuo kufanya assignment zao. Kama vile typing, editing maana wana chuo wengi wavivu na wanapenda bata.
Biashara za online mfano simu, nguo, chupi viatu, karanga na mengineyo wengi wanafanya unaweza fanya pia.
Jitangaze
Pamoja sana naja PMNicheki pm niwe nakuuzia laptops na simu from Dubai kwa bei rahisi unawauzia utawapata wengi tu.