Msaada:Naombeni kujuzwa kuhusu payment getways .

Msaada:Naombeni kujuzwa kuhusu payment getways .

Sioni _tatizo

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
17
Reaction score
24
Habari makuu,hivi karibuni kuna mradi nilikua najaribu kutengeneza na kukwama katika kipengele cha namna clients wanaweza fanya nalipo. Ninichotaka kujunzwa ni payment getways zinazo oparate Tanzania na zina favour startups kny matter ya cost. Asanteni
 
Habari makuu,hivi karibuni kuna mradi nilikua najaribu kutengeneza na kukwama katika kipengele cha namna clients wanaweza fanya nalipo. Ninichotaka kujunzwa ni payment getways zinazo oparate Tanzania na zina favour startups kny matter ya cost. Asanteni
Kuna Skrill, perfect money, Neteller, astropay (sirecommend)
Hao wote wanaweza kukupa direct payment from client to your merchant, japo ukiwa na VIP level ni rahisi Kwa Skrill ukiwa na VIP na VIP wanakupa ukifikisha USD 15600,
Mi wamenipa mwezi huu
 

Attachments

  • Screenshot_20241229-193757.jpg
    Screenshot_20241229-193757.jpg
    191.7 KB · Views: 4
Kuna Skrill, perfect money, Neteller, astropay (sirecommend)
Hao wote wanaweza kukupa direct payment from client to your merchant, japo ukiwa na VIP level ni rahisi Kwa Skrill ukiwa na VIP na VIP wanakupa ukifikisha USD 15600,
Mi wamenipa mwezi huu
Na shukuru sana mkuu
 
Kuna Skrill, perfect money, Neteller, astropay (sirecommend)
Hao wote wanaweza kukupa direct payment from client to your merchant, japo ukiwa na VIP level ni rahisi Kwa Skrill ukiwa na VIP na VIP wanakupa ukifikisha USD 15600,
Mi wamenipa mwezi huu
Vipi mkuu kuhusu M-pesa, Airtelmoney Api zao zipo public au ndio mpaka uende ofisini kwao??
 
Vipi mkuu kuhusu M-pesa, Airtelmoney Api zao zipo public au ndio mpaka uende ofisini kwao??
Ndio mkuu lazma ufike, pia watakusaidia masuala mengine kama kutanua/kuongeza account Yako iweze kupitisha miamala mikubwa
 
Back
Top Bottom