John kirua
Senior Member
- Dec 7, 2021
- 140
- 107
Mzee wangu amenipa eneo la kujenga..
Mm ni kijana na mtt wa kwanza miaka 28.
Nimepata kazi ya kujitolea katika taasisi ya umma lakini kwenye suala la malipo yanachelewa hata miezi 3 ila wakilipa wanatoa pesa yote ya miez 3
Kuna pesa nilipata nikawekeza kwa bi mkubwa wangu lengo ni nunue matofa kidgo ya kuanzia sasa juzi nimepata pesa nimetoa laki 1 hili niongezee na ile kwa bi mkubwa nikanunue matofali nipeleke site kidg yatakuwa meng
Nikamshirikisha mzee akaniambia wazo zuri nunua kidg kdg matofari usikae kusubilia upate ela nying ndio ujenge
Ila bi mkubwa aligoma baada ya kuomba ela niliyompatia niongeze na hii niliyopata alichosema pesa niliyompa ndio itanunua matofari na hii niliyopata sahiv nitumie kwenye matumiz ya nyumbn sababu malipo yangu yanachelewa so inikimu kweny mahitaj madg madog hata msahara ukicherewa itanisaidia
Nashidwa ni fanyaje maana sielew ni msikilize baba au mama?
Mm ni kijana na mtt wa kwanza miaka 28.
Nimepata kazi ya kujitolea katika taasisi ya umma lakini kwenye suala la malipo yanachelewa hata miezi 3 ila wakilipa wanatoa pesa yote ya miez 3
Kuna pesa nilipata nikawekeza kwa bi mkubwa wangu lengo ni nunue matofa kidgo ya kuanzia sasa juzi nimepata pesa nimetoa laki 1 hili niongezee na ile kwa bi mkubwa nikanunue matofali nipeleke site kidg yatakuwa meng
Nikamshirikisha mzee akaniambia wazo zuri nunua kidg kdg matofari usikae kusubilia upate ela nying ndio ujenge
Ila bi mkubwa aligoma baada ya kuomba ela niliyompatia niongeze na hii niliyopata alichosema pesa niliyompa ndio itanunua matofari na hii niliyopata sahiv nitumie kwenye matumiz ya nyumbn sababu malipo yangu yanachelewa so inikimu kweny mahitaj madg madog hata msahara ukicherewa itanisaidia
Nashidwa ni fanyaje maana sielew ni msikilize baba au mama?