Naomba msaada, nimekamilisha kujiunga na kulipia NACTEVET kwa ajili ya application ya diploma. Tatizo linakuja Kila nikitaka kuloqin naambiwa nimekosea username au password ukizingatia username ni namba yangu ya mtihani. Mbaya zaidi nikijaribu option ya kuset password naye inakataa. Mbaya zaidi na zaidi nikiwapiqia simu awapokea.
Mbaya zaidi na zaidi yake nikiwaandikia email wananipatia namba ya simu ili niwapigie ambapo nikipiqa hawapokei. Mbaya kuliko zote nikiwaandikia email kuwajuza kuhusu simu yangu kutopokelewa wananiambia 'piga sasa'. Mbaya zaidi ya zaidi na kubwa kuliko zote ukipiga hiyo sasa hawapokei tena.
Naipenda nchi yangu Tanzania.
Mbaya zaidi na zaidi yake nikiwaandikia email wananipatia namba ya simu ili niwapigie ambapo nikipiqa hawapokei. Mbaya kuliko zote nikiwaandikia email kuwajuza kuhusu simu yangu kutopokelewa wananiambia 'piga sasa'. Mbaya zaidi ya zaidi na kubwa kuliko zote ukipiga hiyo sasa hawapokei tena.
Naipenda nchi yangu Tanzania.