Msaada: Napata maumivu makali sehemu ya haja kubwa kiasi cha kushindwa kukaa

shukuru imma

Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
33
Reaction score
91
Ni muda sasa takriban wiki mbili nina maumivu sehemu ya haja kubwa. Siwezi kukaa na ninatembea kwa shida sana.

Vilevile ninapata shida sana wakati wa kutoa haja kubwa hadi naogopa. Natoa vinyesi vidogo vidogo vinauma sana.

Nilieenda hospitali nikakutwa na amiba. Nimemeza dawa na kumaliza dozi yote lakini hali bado iko vile vile. Wataalamu wa afya waliomo humu naomba kuelimishwa napata shida.
 
DR Mambo Jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…