antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Sababu kubwa ya constipation ni ulaji wa vyakula vyenye kiasì kidogo mno cha kambakamba/nyuzinyuzi (fibers), na mara nyingi kwa mijini culprit ni chips.ZIna shida gani kwa kesi ya bawasiri mkuu?
Ulaji wako upoje?Ni muda sasa takriban wiki mbili nina maumivu sehemu ya haja kubwa. Siwezi kukaa na ninatembea kwa shida sana.
Vilevile ninapata shida sana wakati wa kutoa haja kubwa hadi naogopa. Natoa vinyesi vidogo vidogo vinauma sana.
Nilieenda hospitali nikakutwa na amiba. Nimemeza dawa na kumaliza dozi yote lakini hali bado iko vile vile. Wataalamu wa afya waliomo humu naomba kuelimishwa napata shida.
Ulaji wangu ni wa kawaidaUlaji wako upoje?
Ameshaenda hospitali???
Na dawa hazijamsaidia...Ameshaenda hospitali???
Hapana mkuuHakuna mtu aliwahi kushika hilo tundu lako la nyuma iwe kwa hiari au kwa lazima??
Iwe siku za karibuni au miaka ya nyuma??
Hata matunda mkuuUsitumie dawa yeyote unayoshauriwa humu hadi uende ukapime tena.
Na ukienda hospitali request vipimo vikubwa zaidi.
Usitumie tu dawa hovyo ukajaza sumu mwilini.
Jaribu kuchunguza huwenda ni hemorrhoid grade 1Ni muda sasa takriban wiki mbili nina maumivu sehemu ya haja kubwa. Siwezi kukaa na ninatembea kwa shida sana.
Vilevile ninapata shida sana wakati wa kutoa haja kubwa hadi naogopa. Natoa vinyesi vidogo vidogo vinauma sana.
Nilieenda hospitali nikakutwa na amiba. Nimemeza dawa na kumaliza dozi yote lakini hali bado iko vile vile. Wataalamu wa afya waliomo humu naomba kuelimishwa napata shida.
Matunda ni chakula sio dawa.Hata matunda mkuu
Inatoa vinyama sehem ya haja kubwaYa nje huwa inakuaje?
Kula papai, parachichi au juice ya UkwajuNi muda sasa takriban wiki mbili nina maumivu sehemu ya haja kubwa. Siwezi kukaa na ninatembea kwa shida sana.
Vilevile ninapata shida sana wakati wa kutoa haja kubwa hadi naogopa. Natoa vinyesi vidogo vidogo vinauma sana.
Nilieenda hospitali nikakutwa na amiba. Nimemeza dawa na kumaliza dozi yote lakini hali bado iko vile vile. Wataalamu wa afya waliomo humu naomba kuelimishwa napata shida.
Mbona vikubwa hivo😂 aje report yake isome.kama ya afande wa zenji kwamba aliingiza kitu kigumu kutokea njeJaribu kutumia hizi mkuu....unaweka kimoja huko sehemu ya haja kubwa kila siku kwa siku kadhaa utakazoshauriwa na daktari
View attachment 3095745
mekuelewaMatunda ni chakula sio dawa.
Mie nazungumzia dawa mkuu embu kuwa serious bana.
Kula papai, parachichi au juice ya Ukwaju
Asante sanaKula papai, parachichi au juice ya Ukwaju
Wala sio vikubwaMbona vikubwa hivo😂 aje report yake isome.kama ya afande wa zenji kwamba aliingiza kitu kigumu kutokea nje