tamadunimusic
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 551
- 559
Kama ni kweli, mwili wa binadamu una mechanism nyingi sana amabazo zinasaidia kuuweka mwili sawa, fatilia ni kwa muda gani kisayansi mwanaume anatakiwa kutoa sperm kwakuwa zinapokaa sana bila kutoka waga zina madhara
sasa mwili unapoona muhusika haangaiki na kuzipunguza ndipo mechanism km hzo zinatokea, mwili unajaribu kukushawishi ili uzipunguze hizo sperm kwa namna yoyote ile ilmradi concentration yake katika mwili iwe katika normal pH
Hapo hakuna dawa zaidi ya kuzipunguza sijui hayo mazoezi hakuna kitu, we punguza kwanza alafu ndo ujenge mazoea ya kujiweka busy na hyo mazoezi,kusoma hivo vitabu nk ili akili yako isiwaze hayo mambo tena au mara kwa mara
Hiyo harufu ni mechanism ya mwili kujaribu kupunguza hzo mambo kwa njia ya jasho ila zinatoka kiasi kidogo sana, ushauri sasa, tafuta mdada wa kupunguzia haijarishi km ni kahaba au vp then uhangaike nae km week 1 hv for sure hiyo hali itapotea
Tena uko kazini unaweza kuta wadada wameshajua unahangaika na nn maana nawao waga wanazijua harufu na tabia za wanaume wenye genye zilizopindukia, ss we kalia utanashati sijui kuwaringia kumbe wanakuona boya tu coz unakufa na utamu wako
NB. Me sio doctor na haya ni mawazo yangu tu
sasa mwili unapoona muhusika haangaiki na kuzipunguza ndipo mechanism km hzo zinatokea, mwili unajaribu kukushawishi ili uzipunguze hizo sperm kwa namna yoyote ile ilmradi concentration yake katika mwili iwe katika normal pH
Hapo hakuna dawa zaidi ya kuzipunguza sijui hayo mazoezi hakuna kitu, we punguza kwanza alafu ndo ujenge mazoea ya kujiweka busy na hyo mazoezi,kusoma hivo vitabu nk ili akili yako isiwaze hayo mambo tena au mara kwa mara
Hiyo harufu ni mechanism ya mwili kujaribu kupunguza hzo mambo kwa njia ya jasho ila zinatoka kiasi kidogo sana, ushauri sasa, tafuta mdada wa kupunguzia haijarishi km ni kahaba au vp then uhangaike nae km week 1 hv for sure hiyo hali itapotea
Tena uko kazini unaweza kuta wadada wameshajua unahangaika na nn maana nawao waga wanazijua harufu na tabia za wanaume wenye genye zilizopindukia, ss we kalia utanashati sijui kuwaringia kumbe wanakuona boya tu coz unakufa na utamu wako
NB. Me sio doctor na haya ni mawazo yangu tu