Msaada: Napata mihemko mikali ikiambatana na harufu ya mahaba

Na hilo la kupata mihemko we hujaliona?

Hahaha, point ni kuwa ukiachana na yote hayo, nisingependa kujihusisha na mahusiano ya kingono kabla ya ndoa. Lakin kinyume na matarajio napata mgogoro ndani yangu unaoletwa na hisia a.k.a nyege...

Swali, kuna suluhisho bila ku-do? Kuna suluhisho bila kujichua?

Ukiniambia sasa kuna sindano mtu anachomwa ili aondoe mihemko nafanya appointmnt na tabibu sasa hivi...

Anyways...ahsante..mods waangalie comment yako wakiona inafaa wahamishie matangazo, itakuwa poa
 
We tafuta dem kagongane hakuna dawa ya nyege zaidi ya kugongana, ni jambo la heri hilo unatakiwa kushukuru na kuwa proud
Ungekuwa haupati na haisimami sahivi ungekua sokoni unachagua kuku mwekundu upeleke kwa mganga hapo asali, vitunguu saumu, parachichi, mihogo mibichi na karanga mbichi zishadunda

Get bize jishughulishe, piga zoezi Sali sana labda itasaidia otherwise tafuta dem tu
 
Embu nelekeze kwa huyo mganga. Unaonekana kujua vitu anavyohitaji ili kutoa dawa[emoji12] [emoji85]
 
Huyo dogo lako atapona kweli!
 
Chekacheka phase... Ha ha ha
 
U need jesus bro kua karibu na Mungu nenda kanisan ujazwe roho mtakatfu utaweza kuondokana na tamaa za mwil
 
mapepo hayo! sio wewe pekee! inakujaga sana kama unapinga kufanya hivyo na unamission y Kumtafuta Mungu ili uepuke vishawishi na majaribu!
 

Aaaaah! we jamaaa ni zaidi ya MPOKI wa ZE COMEDY!
 
mapepo hayo! sio wewe pekee! inakujaga sana kama unapinga kufanya hivyo na unamission y Kumtafuta Mungu ili uepuke vishawishi na majaribu!


Ila najiuliza tu, mapepo gani hayo yanachochea hisia za kingono kwa fukara kama mimi.

Asee kama mapepo yana nguvu kiasi hicho siyachochee nipate ela ajabu nimzidi bakhresa, maela mengi mpaka nshindwe kupita kwenye tundu la sindano

Anyway, ngoja niongeze ibada...
 
U need jesus bro kua karibu na Mungu nenda kanisan ujazwe roho mtakatfu utaweza kuondokana na tamaa za mwil
Kanisani nimejiunga kwenye kwaya. Kuna warembo balaa na wote wapo single...

Can you imagine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…