Wakuu naomba msaada wa ushauri na kimatibabu ikiwezekana...Nina tatizo la kupiga mihayo Sana..kwa dakika naweza kupiga Mara 2..nmejaribu kusearch Google kujua labda tatizo langu ni nini...majibu ni mengi hadi nashindwa kuelewa.huwa napumzka vya kutosha kabisa..naombeni msaada
Wakuu naomba msaada wa ushauri na kimatibabu ikiwezekana...Nina tatizo la kupiga mihayo Sana..kwa dakika naweza kupiga Mara 2..nmejaribu kusearch Google kujua labda tatizo langu ni nini...majibu ni mengi hadi nashindwa kuelewa.huwa napumzka vya kutosha kabisa..naombeni msaada
Kupiga miayo mingi kwaweza kusababishwa na ubongo kukosa kiasi cha oksjeni inayotakiwa. Punguza miayo kwa kufanya lifuatalo: 1. vuta hewa nyingi ndani (deep breathing) kila upigapo miayo. Fanya hivo mara kadhaa.Wakuu naomba msaada wa ushauri na kimatibabu ikiwezekana...Nina tatizo la kupiga mihayo Sana..kwa dakika naweza kupiga Mara 2..nmejaribu kusearch Google kujua labda tatizo langu ni nini...majibu ni mengi hadi nashindwa kuelewa.huwa napumzka vya kutosha kabisa..naombeni msaada