Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mimi nikichinja au ninaofuga siwezi kuwala but akichinja mwingine nakula vizuri sana,Ila wakati mwingine hiyo hali inanijia huwa naona ni kama nakula nyama ambayo hairuhusiwi,nikila mboga zingine zaidi ya kitoweo najisikiaga Amani sanaSio wewe tu mimi nikimchinja kuku mwenyewe siwezi kumla ila nitamla aliye chinjwa na mwingine
Nonsense.
NonsenseUtakua na matatzo, unakua kama wanawake wa Dar wakiona mende Wanapiga yowe
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
NonsenseFyuuuu nonsense
Rafiki kuna kuku wangu hapa njoo nisaidie kumchinja please![emoji53][emoji53][emoji53]Fyuuuu nonsense
Sina chura Mimi.Rafiki kuna kuku wangu hapa njoo nisaidie kuchinja please![emoji53][emoji53][emoji53]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Sina chura Mimi.