Msaada , nashindwa kula nyama ya kuku ,ng'ombe nk naona ni ukatili.

Msaada , nashindwa kula nyama ya kuku ,ng'ombe nk naona ni ukatili.

Kuwa kama mbuzi

ova

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
dalili za kuwa mmoja kati ya wale wanne....................
 
Msaada wakuu ,nimekuwa nikijiskia katili sana nikila nyama hasa za kuku najiskia vibaya sana naona mpaka huruma kumkatishia uhai wake kiumbe mwenzangu .

Hali imekuwa mbaya zaidi siku hizi hata mayai nayo najiskia vibaya kuyala naona kama nakula vifaranga yani.


Please please please msaada.

Nateseka sana.

Anza kufuga rasta
 
Msaada wakuu ,nimekuwa nikijiskia katili sana nikila nyama hasa za kuku najiskia vibaya sana naona mpaka huruma kumkatishia uhai wake kiumbe mwenzangu .

Hali imekuwa mbaya zaidi siku hizi hata mayai nayo najiskia vibaya kuyala naona kama nakula vifaranga yani.


Please please please msaada.

Nateseka sana.
Ukumbuke wameumbwa ili wawe kitoweo chetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi usile na mboga za majani wala unga wali usile mkuu kwan navyo vilikuwa na uhai kabla ww kuvitumia.
 
si lazima kula kama hupondi,,unaamua tu unakua mlamboga mboga tu..(vegetarian
 
Back
Top Bottom