Mbn wanicheka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Jovitha mmekuona miss youuuFyuuuu nonsense
Miss u tooJovitha mmekuona miss youuu
Sasa hao wanyama unadhani wanafugwa kwa kazi gani.? Yan unadhani mwisho wake ni nini baada ya kuwafuga.. Anyways nadhani nyie mpo ili sisi tuwalie nyie share zenu. Nakulaga kama sina akili nzuri
Msaada wakuu ,nimekuwa nikijiskia katili sana nikila nyama hasa za kuku najiskia vibaya sana naona mpaka huruma kumkatishia uhai wake kiumbe mwenzangu .
Hali imekuwa mbaya zaidi siku hizi hata mayai nayo najiskia vibaya kuyala naona kama nakula vifaranga yani.
Please please please msaada.
Nateseka sana.
Ukumbuke wameumbwa ili wawe kitoweo chetu.Msaada wakuu ,nimekuwa nikijiskia katili sana nikila nyama hasa za kuku najiskia vibaya sana naona mpaka huruma kumkatishia uhai wake kiumbe mwenzangu .
Hali imekuwa mbaya zaidi siku hizi hata mayai nayo najiskia vibaya kuyala naona kama nakula vifaranga yani.
Please please please msaada.
Nateseka sana.