Msaada: Nasikia Nacte, UDOM matokeo ya admissions yametoka

Msaada: Nasikia Nacte, UDOM matokeo ya admissions yametoka

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Naingia NACTE naona kama hakuna link ya log in , vile vile UDOM hakuna response kwenye akaunti ya kijana. Nifanyeje,
 
Si nilisikia wameahirisha mpaka watoto wetu walala hoi watakapokuwa wametoka Jeshini ndipo nao waombe bodi ya mikopp. Imekuwaje? UDOM wameshachagua tayari?
 
Ameshapigwa chini huyo, muombee hizi nafasi mpya za polisi ili akawatwange wanaufipa vizuri
 
Mkuu taratibu.

Mtoto aliapply kusoma nini? Diploma au Degree?

Tuanzie hapa. Pia ingia website ya UDOM UDOM Home utapata info zaidi.
 
Si nilisikia wameahirisha mpaka watoto wetu walala hoi watakapokuwa wametoka Jeshini ndipo nao waombe bodi ya mikopp. Imekuwaje? UDOM wameshachagua tayari?
Serikali kila mtu akiamka anaamka na tangazo lake.
 
Si nilisikia wameahirisha mpaka watoto wetu walala hoi watakapokuwa wametoka Jeshini ndipo nao waombe bodi ya mikopp. Imekuwaje? UDOM wameshachagua tayari?
nimesikia hivyo,lifanyie kazi unijuze hapa
 
Mbona wewe ulikua unalia mkopo mda mrefu ad ukapata[emoji16][emoji16][emoji16]
Hilo llikuwa linasoma MATI Mtwara certificate ya kilimo, nadhani lilifukuzwa. I blocked him maana lilikuwa kero na jinga si l kujibizana nalo. Ignore the stupid burger!
 
Back
Top Bottom