Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
- Thread starter
- #21
ShukraniPamoja na kutafuta matibabu, fanya yafuatayo:
1. Acha kabisa kunywa vinywaji vyenye sukari kama vile juice, soda na bia laini
2. Acha kula wali, ugali, mikate
3. Kula vyakula vya protini kwa wingi, huko huko utapata carbohydrates za kwenye ugali na wali.
4. Kula mboga mboga