MSAADA: Nasumbuliwa na miguu kuuma, hasa mguu wa kushoto

Shukrani
 
Hilo ni tatizo la mishipa ya fahamu.
Nenda kwenye hosipitali kubwa zenye wataalam wa fani hiyo utatibiwa na utapona kabisa.

Pole sana!
Leo nilikuwa na mzee mmoja akaniambia miaka kama7 nyuma alisumbuliwa na hili tatizo anasema kipindi yupo arusha alikwenda hospital moja anakwambia tena ndogo tu,wakamfanyia vipimo vya Culture blood sijui alitamka sawa akiwa anamaanisha kwamba walipandikiza damu baada ya siku tatu wakampa majibu ya .......!!!

Kwamba tatizo lake lilitokana na kula siagi,maziwa na nguruwe sasa baada ya kumpa dawa amepona mpaka leo,ila alochoaema ni miaka mingi huko Arusha.

Ndio nataka kujua hospital gan wanaweza toa hiyo huduma ya blood Culture sijui aliamka sahihi
 
UPDATE---
Nimekwenda mwananyamala nimefanya kila aina baadhi ya vipimo na kusema kwamba MISULI IMEKAZA.

Hivyo nimepata dawa,naingia wiki la pili sasa lakin naona nafuu hamna au ngoja tuendelee kufuta subra
 
Habari!
Unaweza kueleza:
1: Uzito wako?

2: Kazi yako kama ni ya kusimama mrefu?

3: Umbali unaitembea kama ni mrefu sana kwa siku?

4: Aina ya vuatu unavyovaa kama vinabontea unapokanyagia/soli au vigumu?

5: Maumivu yako yaliazia wapi? Kwenye kiaigino au katikati ya unyayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…