Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ni kama vidonda vya tumbo vikiwa kwenye peak level.Jamani naumwa asidi tumboni nimebadilisha mfumo mzima wa maisha dawa nimetumia lakini wapi
Naumwa kifua, mabega maumivu yanasambaa mpaka kwenye maziwa yaani sina raha, ninapata stress hamu ya tendo imepungua anayejua dawa ya kienyeji msaada
Nisaidie hiyo dawa nduguKuna dawa ya kienyeji ila siku nzima uwe nyumbani maana ni kuharisha tu
Ila naona hiyo acid imeleta unafuu sana maana bila nyege maisha yanakuwa marahisi sana, no stress za mianaume.Jamani naumwa asidi tumboni nimebadilisha mfumo mzima wa maisha dawa nimetumia lakini wapi
Naumwa kifua, mabega maumivu yanasambaa mpaka kwenye maziwa yaani sina raha, ninapata stress hamu ya tendo imepungua anayejua dawa ya kienyeji msaada
Kwanza angalia aina ya chakula chako ,mara nyingi ni ishara ya vidonda vya tumbo hiyo,Jamani naumwa asidi tumboni nimebadilisha mfumo mzima wa maisha dawa nimetumia lakini wapi
Naumwa kifua, mabega maumivu yanasambaa mpaka kwenye maziwa yaani sina raha, ninapata stress hamu ya tendo imepungua anayejua dawa ya kienyeji msaada
Hiyo asid ni ugonjwa wa taifa Sasa Nimetoka hospital juzi tu tumbo linajaa gas kubeua mda wote mgongo unawaka moto unaishiwa Nguvu mala mapigo ya Moyo Yan tafran doctor akasema huu ugonjwa asilimia 99.9 unawapata wanawake na 80% ni wanawake wenye Ndoa za mitara 😂😂😂Jamani naumwa asidi tumboni nimebadilisha mfumo mzima wa maisha dawa nimetumia lakini wapi
Naumwa kifua, mabega maumivu yanasambaa mpaka kwenye maziwa yaani sina raha, ninapata stress hamu ya tendo imepungua anayejua dawa ya kienyeji msaada
Kweli na mm nimeolewa mitaraHiyo asid ni ugonjwa wa taifa Sasa Nimetoka hospital juzi tu tumbo linajaa gas kubeua mda wote mgongo unawaka moto unaishiwa Nguvu mala mapigo ya Moyo Yan tafran doctor akasema huu ugonjwa asilimia 99.9 unawapata wanawake na 80% ni wanawake wenye Ndoa za mitara 😂😂😂
Dawa ya Kienyeji ya nini...Jamani naumwa asidi tumboni nimebadilisha mfumo mzima wa maisha dawa nimetumia lakini wapi
Naumwa kifua, mabega maumivu yanasambaa mpaka kwenye maziwa yaani sina raha, ninapata stress hamu ya tendo imepungua anayejua dawa ya kienyeji msaada
Pole sana, ukianza kupoteza sauti ujue habari yako kwisha
Unaonaje kama ukiripoti katka kiwanda kuupunguza nakuanza kuifanyia utafiti zaidiJamani naumwa asidi tumboni nimebadilisha mfumo mzima wa maisha dawa nimetumia lakini wapi
Naumwa kifua, mabega maumivu yanasambaa mpaka kwenye maziwa yaani sina raha, ninapata stress hamu ya tendo imepungua anayejua dawa ya kienyeji msaada
Poleni. Punguzeni kujipa shinikizo kuhusu maisha.Kweli na mm nimeolewa mitara
Mitara ipoje 😂Poleni. Punguzeni kujipa shinikizo kuhusu maisha.
Mawazo mengi sumu mbaya sana.
🤩Kweli na mm nimeolewa mitara
Ndoa za mume mmoja wake wawili au zaidi.Mitara ipoje 😂
Hebu chukua kahawa chungu unywe uone kama asidi itapungua tumboni!!Jamani naumwa asidi tumboni nimebadilisha mfumo mzima wa maisha dawa nimetumia lakini wapi
Naumwa kifua, mabega maumivu yanasambaa mpaka kwenye maziwa yaani sina raha, ninapata stress hamu ya tendo imepungua anayejua dawa ya kienyeji msaada