Msaada nasumbuliwa na tatizo la ganzi

Msaada nasumbuliwa na tatizo la ganzi

new level

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2021
Posts
274
Reaction score
583
Habari wadau mimi nikijana ( 26 ) nasumbuliwa na ganzi mkononi na miguuni pia sometime miguu uwaka moto na mikono pia nikienda hospital naambiwa sina tatizo nimepima kisukari , presha, vidonda vya tumbo , uric acid, na magonjwa yote yasababishayo ganzi ila naambiwa niko salama ..

Nimetumia dawa zakizungu zinazotibu ganzi ila sikupata ata nafuu nimetumia mafuta ya nazi namengineo na mizizi kibao dawa za kunywa zaku paka zakuoga na sasa adi za chale pia najaribu kula matunda maziwa nakutokula au kunywa vyakula vya viwandani ila naelekea kukata tamaa ni mwaka wa pili sasa toka nipate ilo tatizo lilianza kwenye viganja vya mkono wakulia likaamia mkono wakushoto likasambaa adi mguuni na sasa ni mikono na miguu yote miwili adi mgongoni pia..

Kinacho nishangaza show [emoji932] napiga vizuri tu siisi kizungu zungu napata apetite vizuri ila kunakipindi nakosa choo.. hii ni ganzi ya aina gani ? Sifanyi kazi ngumu sija pata ajali sa shida nini ?

Nimepoteza uwezo wakukimbia , kuandika kupitia kalamu nakuja kwenu wadau kama kuna mtu anaujuzi kuusiana na hili tatizo anisaidie naelekea kukata tamaa ya maisha tafadhalini Asante .
 
Habari wadau mimi nikijana ( 26 ) nasumbuliwa na ganzi mkononi na miguuni pia sometime miguu uwaka moto na mikono pia nikienda hospital naambiwa sina tatizo nimepima kisukari , presha, vidonda vya tumbo , uric acid, na magonjwa yote yasababishayo ganzi ila naambiwa niko salama ..

Nimetumia dawa zakizungu zinazotibu ganzi ila sikupata ata nafuu nimetumia mafuta ya nazi namengineo na mizizi kibao dawa za kunywa zaku paka zakuoga na sasa adi za chale pia najaribu kula matunda maziwa nakutokula au kunywa vyakula vya viwandani ila naelekea kukata tamaa ni mwaka wa pili sasa toka nipate ilo tatizo lilianza kwenye viganja vya mkono wakulia likaamia mkono wakushoto likasambaa adi mguuni na sasa ni mikono na miguu yote miwili adi mgongoni pia..

Kinacho nishangaza show [emoji932] napiga vizuri tu siisi kizungu zungu napata apetite vizuri ila kunakipindi nakosa choo.. hii ni ganzi ya aina gani ? Sifanyi kazi ngumu sija pata ajali sa shida nini ?

Nimepoteza uwezo wakukimbia , kuandika kupitia kalamu nakuja kwenu wadau kama kuna mtu anaujuzi kuusiana na hili tatizo anisaidie naelekea kukata tamaa ya maisha tafadhalini Asante .
Pole,

Kuna mambo nitahitaji kufahamu ili kupata mwanga kidogo.

1: Umekuwa ukiumwa tatizo hili kwa miaka mingapi?

2: Uzito wako na urefu ni kilo ngapi?

3: Ulishawahi kupima mafuta/cholesterol?

4: Unaweza kukumbuka aina ya kazi na kwa muda gani ulizofanya tangu unajitambua?

5: Kuna mtu mwingine kwenye familia ana tatizo kama lako?

6: Ganzi ilanzia wapi na kuelekea wapi kwenye mwili?

7: Kadri siku zinavyopita, je ganzi inaongezeka?

8: Ulishawahi kupata ajali na ulipata shida yoyote?

9: Ulishawahi kupoteza fahamu?

10: Una maumivu yoyote ya mgongo?

NB: Yote ni kutaka kupata chanzo cha tatizo na nini kifanyike.
 
Tatizo linaelekea mwaka wa 3 sasa maana lilianza mwaka juzi 2021 mwezi wa 8

Nilikua nafanya biashara sehem flan visiwani kama costumer care kwa miaka 10 toka 2012

Uzito 58 urefu sikumbuki

Magonjwa mengi nimepima japo mengine nimeshasaau

Kwenye familia hakuna mwenye tatizo kama langu na sijawai kumsikia
 
Pole,

Kuna mambo nitahitaji kufahamu ili kupata mwanga kidogo.

1: Umekuwa ukiumwa tatizo hili kwa miaka mingapi?

2: Uzito wako na urefu ni kilo ngapi?

3: Ulishawahi kupima mafuta/cholesterol?

4: Unaweza kukumbuka aina ya kazi na kwa muda gani ulizofanya tangu unajitambua?

5: Kuna mtu mwingine kwenye familia ana tatizo kama lako?

6: Ganzi ilanzia wapi na kuelekea wapi kwenye mwili?

7: Kadri siku zinavyopita, je ganzi inaongezeka?

8: Ulishawahi kupata ajali na ulipata shida yoyote?

9: Ulishawahi kupoteza fahamu?

10: Una maumivu yoyote ya mgongo?

NB: Yote ni kutaka kupata chanzo cha tatizo na nini kifanyike.

Ganzi ilianza kwenye kiganja cha mkono wa kulia

Sijawai kupima mafuta ila ni mwembamba tu wa kawaida

Ganzi kwa sasa linaendelea kwa kasi zaidi adi naogopa

Ajali sijawai kupata

Sijawai kupoteza fahamu

Nb : damu yangu hutoka kwa wingi pale ninapo jikata kibaati mbaya nakitu chenye ncha pia huwai kukauka nakidonda huai kupona haraka sana sijui kwanini
 
Figo, punyeto, madini joto, hivi vitu zingatia sana nyeto inamaliza nguvu za misuli madini joto ni muhimu mwilini na figo icheki vizuri usije kufa kizembe kama uko sawa pote tafuta mganga nenda na kondoo utakuja kutoa ushihuda hapa😂😂
 
Figo, punyeto, madini joto, hivi vitu zingatia sana nyeto inamaliza nguvu za misuli madini joto ni muhimu mwilini na figo icheki vizuri usije kufa kizembe kama uko sawa pote tafuta mganga nenda na kondoo utakuja kutoa ushihuda hapa[emoji23][emoji23]

Mhh ndo mara ya kwanza kusikia hayo
 
Nakushauri kwanza Fanya chuku ( hijama) cupping kwa kizungu ni njia nzuri inatibu maradhi mengi

Asanteni
 
Pole sana.

Je, uliwahi kuumwa ugonjwa mwingine tofauti uliokulazimu kutumia aina za dawa kwa muda mrefu?

Kama ndiyo, ilikuwa ugonjwa gani na aina gani za dawa?

Je, ganzi inapokumamata inakuachia baada ya muda gani?
 
Pole Sana.
1. Safisha tumbo Kwa dawa za asili yaani uharishe.
2. Saga karafu na pilipili manga ratio Sawa yaani kama ni vijiko 5 basi vyote weka kwa crator saga pata unga wake. Tumia kijiko kimoja cha chai cha huo unga ndani ya maji Moto kikombe cha chai. Kunywa asubuhi kabla hujala kitu na jioni wakati wa kulala.
3. Tafuta kiungo Fulani linaitwa Rosemary huwa vipo masoko makubwa kwenye viungo vibichi. Unatumia kiasi kidogo cha Jani hili unasagia huko tumeric/manjano mbichi size ya nusu kidole gumba, unaweka na unga wako mchanganyiko wa karafuu na pilipili manga lakini iwe nusu kijiko cha chai. weka maji Moto kunywa. Siku ya dose hii usitumie tiba na 2. juu.
3. Amka asubuhi tembea peku nenda kwenye jua nyanyua kichwa tizama jua la asubuhi kwa macho yako kwa DK 15-30 kwa kutizama say dk 5 unashusha kichwa unapumzusha dk 1 unarudia tena kutizama jua. Fanya Kwa jua la asubuhi na jioni.

Anza na hivi halafu uniletee mrejesho hapa au PM ili nione progress. Usipoleta mrejesho utanikwaza. Najua utapona. Uwe na Imani. Ukihitaji private njoo PM nitakusaidia Bure kabisa kwa tiba zote mbadala ninazozifahamu mpaka upone. Ila kama siyo issue private sema Tu hapa ili na wengine wafaidike na huduma yangu. Ugua pole.
 
Ganzi ilianza kwenye kiganja cha mkono wa kulia

Sijawai kupima mafuta ila ni mwembamba tu wa kawaida

Ganzi kwa sasa linaendelea kwa kasi zaidi adi naogopa

Ajali sijawai kupata

Sijawai kupoteza fahamu

Nb : damu yangu hutoka kwa wingi pale ninapo jikata kibaati mbaya nakitu chenye ncha pia huwai kukauka nakidonda huai kupona haraka sana sijui kwanini

1: Wakati tunajibu ni vizuri kujibu kwa kufuata mtiririko, ikiwezekana na namba ili usiache maswali nyuma ambayo ni msaada wa kufahamu shida.

2: Kuwa mwembamba si hakikisho la kukosa tatizo la mafuta, kwani bado huwa kuna matatizo kwenye mfumo mzima wa mwili kwenye usimamizi wa utengenezaji na uunguzaji wa mafuta. Hii haitegemei unakula nini.

3: Hili ni tatizo ambalo bado utahitaji kufanya vipimo zaidi. Hii naweza kusema inaitwa progressive neuropathy. Kulingana na ulivyoeleza. Cha msingi ni kwenda kutafita chanzo na ndo msingi wa tiba utakapoanzia

Mtu mhimu wa kumuona hapa ni NEUROPHYSICIAN/daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na iwe kwenye hospitali kubwa (Kuanzia Rufaa na National level hii ni kwa ajili ya umhimu wa upatikanaji wa vipimo husika ). Kwa Mwanza unaweza kuwapata hata Bugando na vipimo pia.

4: Utahitajika kutoa maelezo kwa kadri ya kumbukumbu zako na mengine ni sehemu ya yaliyoulizwa hapo juu.

5: Kuna matatizo mengi yanayoweza kuleta tatizo kama hili: mfano: demylination syndrome na vianzilishi/visababishi vyake, autoimmune neuropathy na pia shida ya ukosefu wa vitamins na mpangilio mbovu wa mafuta mwilini.

Hivyo, usikate tamaa kwa kuona umeenda hospitali ya kiwango/level fulani na hawakuona tatizo bado kuna haja ya kuwaona wahusika hapo juu.
 
Pole Sana.
1. Safisha tumbo Kwa dawa za asili yaani uharishe.
2. Saga karafu na pilipili manga ratio Sawa yaani kama ni vijiko 5 basi vyote weka kwa crator saga pata unga wake. Tumia kijiko kimoja cha chai cha huo unga ndani ya maji Moto kikombe cha chai. Kunywa asubuhi kabla hujala kitu na jioni wakati wa kulala.
3. Tafuta kiungo Fulani linaitwa Rosemary huwa vipo masoko makubwa kwenye viungo vibichi. Unatumia kiasi kidogo cha Jani hili unasagia huko tumeric/manjano mbichi size ya nusu kidole gumba, unaweka na unga wako mchanganyiko wa karafuu na pilipili manga lakini iwe nusu kijiko cha chai. weka maji Moto kunywa. Siku ya dose hii usitumie tiba na 2. juu.
3. Amka asubuhi tembea peku nenda kwenye jua nyanyua kichwa tizama jua la asubuhi kwa macho yako kwa DK 15-30 kwa kutizama say dk 5 unashusha kichwa unapumzusha dk 1 unarudia tena kutizama jua. Fanya Kwa jua la asubuhi na jioni.

Anza na hivi halafu uniletee mrejesho hapa au PM ili nione progress. Usipoleta mrejesho utanikwaza. Najua utapona. Uwe na Imani. Ukihitaji private njoo PM nitakusaidia Bure kabisa kwa tiba zote mbadala ninazozifahamu mpaka upone. Ila kama siyo issue private sema Tu hapa ili na wengine wafaidike na huduma yangu. Ugua pole.

Asante nitafanya ilo zoezi mungu akubariki sana Imani ipo Ndomana sitaki kukata tamaa licha yakusikia roho moyoni ikirudia rudia ikiniambia ni give up bado na pambana nayo miaka yote hii
 
1: Wakati tunajibu ni vizuri kujibu kwa kufuata mtiririko, ikiwezekana na namba ili usiache maswali nyuma ambayo ni msaada wa kufahamu shida.

2: Kuwa mwembamba si hakikisho la kukosa tatizo la mafuta, kwani bado huwa kuna matatizo kwenye mfumo mzima wa mwili kwenye usimamizi wa utengenezaji na uunguzaji wa mafuta. Hii haitegemei unakula nini.

3: Hili ni tatizo ambalo bado utahitaji kufanya vipimo zaidi. Hii naweza kusema inaitwa progressive neuropathy. Kulingana na ulivyoeleza. Cha msingi ni kwenda kutafita chanzo na ndo msingi wa tiba utakapoanzia

Mtu mhimu wa kumuona hapa ni NEUROPHYSICIAN/daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na iwe kwenye hospitali kubwa (Kuanzia Rufaa na National level hii ni kwa ajili ya umhimu wa upatikanaji wa vipimo husika ). Kwa Mwanza unaweza kuwapata hata Bugando na vipimo pia.

4: Utahitajika kutoa maelezo kwa kadri ya kumbukumbu zako na mengine ni sehemu ya yaliyoulizwa hapo juu.

5: Kuna matatizo mengi yanayoweza kuleta tatizo kama hili: mfano: demylination syndrome na vianzilishi/visababishi vyake, autoimmune neuropathy na pia shida ya ukosefu wa vitamins na mpangilio mbovu wa mafuta mwilini.

Hivyo, usikate tamaa kwa kuona umeenda hospitali ya kiwango/level fulani na hawakuona tatizo bado kuna haja ya kuwaona wahusika hapo juu.

Nashkur pia nitafwatilia muongozo na kuusu kuandika natumia nguvu nyingi sana ku type mahna kidole gumba sometime kinakua kimekakamaa ivyo nashindwa kutiririka vizur kikawaida. Kwaiy univumilie ndugu yangu

Nimependa ulivyoeleza nakufafanua niseme Asante tena mmenipa mwanzo mpya nilidhan nimeshafanya kila jitiada ila kwailo nitaanza mchakato upya kabla sijaanza kushindwa kuinuka kitandan .. nitaleta mrejesho nikisha fanikisha nakama wapo wengine wenye mawazo mengine pia wanaweza kuchangia kwa faida ya wana jf wenye ugonjwa kama wangu .
 
Nashkur pia nitafwatilia muongozo na kuusu kuandika natumia nguvu nyingi sana ku type mahna kidole gumba sometime kinakua kimekakamaa ivyo nashindwa kutiririka vizur kikawaida. Kwaiy univumilie ndugu yangu

Nimependa ulivyoeleza nakufafanua niseme Asante tena mmenipa mwanzo mpya nilidhan nimeshafanya kila jitiada ila kwailo nitaanza mchakato upya kabla sijaanza kushindwa kuinuka kitandan .. nitaleta mrejesho nikisha fanikisha nakama wapo wengine wenye mawazo mengine pia wanaweza kuchangia kwa faida ya wana jf wenye ugonjwa kama wangu .

Pole sana, natumaini ufumbuzi utapatikana. Nayahisi maumivu yako na pia saikolojia yako unavyopitia mtanzuko hasa kwa haya maelezo yako ya mwisho.

Fanyia kazi na Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi.
 
Back
Top Bottom