Msaada nasumbuliwa na tatizo la ganzi

Msaada nasumbuliwa na tatizo la ganzi

Ganzi ilianza kwenye kiganja cha mkono wa kulia

Sijawai kupima mafuta ila ni mwembamba tu wa kawaida

Ganzi kwa sasa linaendelea kwa kasi zaidi adi naogopa

Ajali sijawai kupata

Sijawai kupoteza fahamu

Nb : damu yangu hutoka kwa wingi pale ninapo jikata kibaati mbaya nakitu chenye ncha pia huwai kukauka nakidonda huai kupona haraka sana sijui kwanini
Hii ganzi yako ina tibika itakuwa ni acid zimezidi mwili Au sumu na kupelekea tatizo hilo

Ukinywa vinywaji kama soda coca, Pepsi una hisi ganzi kuongezeka? Au utofauti?
 
Pole sana, natumaini ufumbuzi utapatikana. Nayahisi maumivu yako na pia saikolojia yako unavyopitia mtanzuko hasa kwa haya maelezo yako ya mwisho.

Fanyia kazi na Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi.

Amin [emoji1431]naomba sana mungu anisaidie mim bado mdogo sana huu mzigo mkubwa siuwezi kabisa.

Umri wangu huu kupambana na ugonjwa, pesa, depression , nk.. nikazi kubwa sana
 
Hili tatizo la miguu kuwaka moto!kufa ganzi mimi pia linanisumbua sana aisee mpaka nimeshachoka kuhangaika.

watu wengi wana hili tatizo, maana wengi naskia mara nyungi wanasema hata mimi tatizo hili .

Ukipata msaada ni tag mkuu
 
Hii ganzi yako ina tibika itakuwa ni acid zimezidi mwili Au sumu na kupelekea tatizo hilo

Ukinywa vinywaji kama soda coca, Pepsi una hisi ganzi kuongezeka? Au utofauti?

Ndio ganzi uongezeka sana ata nikinywa juice za viwandani hua najiivyo ganzi kuongezeka
 
Ndio ganzi uongezeka sana ata nikinywa juice za viwandani hua najiivyo ganzi kuongezeka
Basi hiyo ni sumu zimezidi mawilini

Unachotakiwa kufanya ni kucheki na dokta, kama upo dsm nakutumia namba yake umcheki ana weza kukusaidia

Nitext DM nikutumie namba
 
Ganzi ilianza kwenye kiganja cha mkono wa kulia

Sijawai kupima mafuta ila ni mwembamba tu wa kawaida

Ganzi kwa sasa linaendelea kwa kasi zaidi adi naogopa

Ajali sijawai kupata

Sijawai kupoteza fahamu

Nb : damu yangu hutoka kwa wingi pale ninapo jikata kibaati mbaya nakitu chenye ncha pia huwai kukauka nakidonda huai kupona haraka sana sijui kwanini
Pole mkuu,je hauna anxiety ama depression? Maana hizo pia husababisha numbness ama ganzi
 
Habari za Asubuhi wakuu! NA MIMI NAPATA HII SHIDA YA GANZI ILIQNZA MAUMIVU KWENYE MFUPA WA HIPS NA BAADAYE MAUMIVU YA MBAVU.
NILIOPOKUNYWA DAWA YA MAUMIVU YA FLAMAR MX NIKAAMKA USIKU NIKAONA HII GANZI AU NUMBNESS IMENIKAMATA SEHEMU SEHEMU ZA MWILI USONI , KTK SIKIO LA KULIA MKONONI NA MGUUNI

NIMEENDA HOSPITAL KUANGALIA CTSCAN VIPIMO VYOTE FIGO NA MFUMO WANGI WA KIKE UPO SAWASAWA. NAHITAJI KUOTOA HII GANZI INANIKOSESHA RAHA. MFUPA WA HIP KUSHOTO BADO UNAUMA NA MBAVU ZA KULIA. MUNGU AWABARIKI
 
Pole Sana.
1. Safisha tumbo Kwa dawa za asili yaani uharishe.
2. Saga karafu na pilipili manga ratio Sawa yaani kama ni vijiko 5 basi vyote weka kwa crator saga pata unga wake. Tumia kijiko kimoja cha chai cha huo unga ndani ya maji Moto kikombe cha chai. Kunywa asubuhi kabla hujala kitu na jioni wakati wa kulala.
3. Tafuta kiungo Fulani linaitwa Rosemary huwa vipo masoko makubwa kwenye viungo vibichi. Unatumia kiasi kidogo cha Jani hili unasagia huko tumeric/manjano mbichi size ya nusu kidole gumba, unaweka na unga wako mchanganyiko wa karafuu na pilipili manga lakini iwe nusu kijiko cha chai. weka maji Moto kunywa. Siku ya dose hii usitumie tiba na 2. juu.
3. Amka asubuhi tembea peku nenda kwenye jua nyanyua kichwa tizama jua la asubuhi kwa macho yako kwa DK 15-30 kwa kutizama say dk 5 unashusha kichwa unapumzusha dk 1 unarudia tena kutizama jua. Fanya Kwa jua la asubuhi na jioni.

Anza na hivi halafu uniletee mrejesho hapa au PM ili nione progress. Usipoleta mrejesho utanikwaza. Najua utapona. Uwe na Imani. Ukihitaji private njoo PM nitakusaidia Bure kabisa kwa tiba zote mbadala ninazozifahamu mpaka upone. Ila kama siyo issue private sema Tu hapa ili na wengine wafaidike na huduma yangu. Ugua pole.
Naomba tuwasiliane inbox
 
Habari wadau mimi nikijana ( 26 ) nasumbuliwa na ganzi mkononi na miguuni pia sometime miguu uwaka moto na mikono pia nikienda hospital naambiwa sina tatizo nimepima kisukari , presha, vidonda vya tumbo , uric acid, na magonjwa yote yasababishayo ganzi ila naambiwa niko salama ..

Nimetumia dawa zakizungu zinazotibu ganzi ila sikupata ata nafuu nimetumia mafuta ya nazi namengineo na mizizi kibao dawa za kunywa zaku paka zakuoga na sasa adi za chale pia najaribu kula matunda maziwa nakutokula au kunywa vyakula vya viwandani ila naelekea kukata tamaa ni mwaka wa pili sasa toka nipate ilo tatizo lilianza kwenye viganja vya mkono wakulia likaamia mkono wakushoto likasambaa adi mguuni na sasa ni mikono na miguu yote miwili adi mgongoni pia..

Kinacho nishangaza show [emoji932] napiga vizuri tu siisi kizungu zungu napata apetite vizuri ila kunakipindi nakosa choo.. hii ni ganzi ya aina gani ? Sifanyi kazi ngumu sija pata ajali sa shida nini ?

Nimepoteza uwezo wakukimbia , kuandika kupitia kalamu nakuja kwenu wadau kama kuna mtu anaujuzi kuusiana na hili tatizo anisaidie naelekea kukata tamaa ya maisha tafadhalini Asante .
Hujawahi ugua TB
 
Mkuu mimi wakati nina umri wa miaka 22 nilipata tatizo kama lako kabisaaa, nilikuwa napata ganzi miguuni saa nyingine miguu inawaka moto kwenye nyayo hadi nikawa sivai viatu vya kufunika,viganja vya mikono vilikuwa Vinaloa kwa jasho ghafla tu. Nilienda hospitali majibu yakakosa, nikaamua kumuachia mungu nikautelekeza ugonjwa wenyewe hadi leo miaka 11 imepita sijui tatizo lilipotelea wapi.
 
Habari wadau mimi nikijana ( 26 ) nasumbuliwa na ganzi mkononi na miguuni pia sometime miguu uwaka moto na mikono pia nikienda hospital naambiwa sina tatizo nimepima kisukari , presha, vidonda vya tumbo , uric acid, na magonjwa yote yasababishayo ganzi ila naambiwa niko salama ..

Nimetumia dawa zakizungu zinazotibu ganzi ila sikupata ata nafuu nimetumia mafuta ya nazi namengineo na mizizi kibao dawa za kunywa zaku paka zakuoga na sasa adi za chale pia najaribu kula matunda maziwa nakutokula au kunywa vyakula vya viwandani ila naelekea kukata tamaa ni mwaka wa pili sasa toka nipate ilo tatizo lilianza kwenye viganja vya mkono wakulia likaamia mkono wakushoto likasambaa adi mguuni na sasa ni mikono na miguu yote miwili adi mgongoni pia..

Kinacho nishangaza show [emoji932] napiga vizuri tu siisi kizungu zungu napata apetite vizuri ila kunakipindi nakosa choo.. hii ni ganzi ya aina gani ? Sifanyi kazi ngumu sija pata ajali sa shida nini ?

Nimepoteza uwezo wakukimbia , kuandika kupitia kalamu nakuja kwenu wadau kama kuna mtu anaujuzi kuusiana na hili tatizo anisaidie naelekea kukata tamaa ya maisha tafadhalini Asante .
Ulipona?
 
Mkuu mimi wakati nina umri wa miaka 22 nilipata tatizo kama lako kabisaaa, nilikuwa napata ganzi miguuni saa nyingine miguu inawaka moto kwenye nyayo hadi nikawa sivai viatu vya kufunika,viganja vya mikono vilikuwa Vinaloa kwa jasho ghafla tu. Nilienda hospitali majibu yakakosa, nikaamua kumuachia mungu nikautelekeza ugonjwa wenyewe hadi leo miaka 11 imepita sijui tatizo lilipotelea wapi.
Ulitumia dawa gani
 
Habari wadau mimi nikijana ( 26 ) nasumbuliwa na ganzi mkononi na miguuni pia sometime miguu uwaka moto na mikono pia nikienda hospital naambiwa sina tatizo nimepima kisukari , presha, vidonda vya tumbo , uric acid, na magonjwa yote yasababishayo ganzi ila naambiwa niko salama ..

Nimetumia dawa zakizungu zinazotibu ganzi ila sikupata ata nafuu nimetumia mafuta ya nazi namengineo na mizizi kibao dawa za kunywa zaku paka zakuoga na sasa adi za chale pia najaribu kula matunda maziwa nakutokula au kunywa vyakula vya viwandani ila naelekea kukata tamaa ni mwaka wa pili sasa toka nipate ilo tatizo lilianza kwenye viganja vya mkono wakulia likaamia mkono wakushoto likasambaa adi mguuni na sasa ni mikono na miguu yote miwili adi mgongoni pia..

Kinacho nishangaza show [emoji932] napiga vizuri tu siisi kizungu zungu napata apetite vizuri ila kunakipindi nakosa choo.. hii ni ganzi ya aina gani ? Sifanyi kazi ngumu sija pata ajali sa shida nini ?

Nimepoteza uwezo wakukimbia , kuandika kupitia kalamu nakuja kwenu wadau kama kuna mtu anaujuzi kuusiana na hili tatizo anisaidie naelekea kukata tamaa ya maisha tafadhalini Asante .
Mkuu pole sana na maradhi yako ya ganzi yanatokana na uchawi na mambo ya giza nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia maradhi yako upate kupona .
 
Habari wadau mimi nikijana ( 26 ) nasumbuliwa na ganzi mkononi na miguuni pia sometime miguu uwaka moto na mikono pia nikienda hospital naambiwa sina tatizo nimepima kisukari , presha, vidonda vya tumbo , uric acid, na magonjwa yote yasababishayo ganzi ila naambiwa niko salama ..

Nimetumia dawa zakizungu zinazotibu ganzi ila sikupata ata nafuu nimetumia mafuta ya nazi namengineo na mizizi kibao dawa za kunywa zaku paka zakuoga na sasa adi za chale pia najaribu kula matunda maziwa nakutokula au kunywa vyakula vya viwandani ila naelekea kukata tamaa ni mwaka wa pili sasa toka nipate ilo tatizo lilianza kwenye viganja vya mkono wakulia likaamia mkono wakushoto likasambaa adi mguuni na sasa ni mikono na miguu yote miwili adi mgongoni pia..

Kinacho nishangaza show [emoji932] napiga vizuri tu siisi kizungu zungu napata apetite vizuri ila kunakipindi nakosa choo.. hii ni ganzi ya aina gani ? Sifanyi kazi ngumu sija pata ajali sa shida nini ?

Nimepoteza uwezo wakukimbia , kuandika kupitia kalamu nakuja kwenu wadau kama kuna mtu anaujuzi kuusiana na hili tatizo anisaidie naelekea kukata tamaa ya maisha tafadhalini Asante .
Nilikupa tiba tarehe22 April 2023. Ni.mwaka na nusu sasa. Nilikuambia ulete mrejesho. Hata kama hukupona ni vyema useme pia.
 
Back
Top Bottom