andrea.comtomani
Member
- Jul 30, 2015
- 13
- 2
Wakristo bwana asifiwe, Waislam salam alehkum.
Natanguliza shukrani za dhati kwa watakaonisaidia kimawazo na kitaalam. Ninahakika kwatatizo langu huku litapata ufumbuzi kwani kuna madaktari wenyeujuzi uliotukaka hapa Jamii forum.
Ninasumbuliwa natumbo jamani. Linajaa gesi sana na linanguruma hasa usiku. Pia linaniletea maumivu yakiuno makali. Kunamda nashindwa hata kuinama. Pia nikihisi kwenda haja choo kinakua chashida na kidogosana.
Pia huambatana na damu. Tatizo hili limesababisha hata kuishiwa hamu ya kugegeda. Hata wakati mwingine nashindwa kabisa. Kwasasa natumia dozi lakini hakuna dalili zozote zakupona. Msaada wenu kimawazo, kitaalam unahitajika wapendwa kwani nimekuwa na msongo mkali kimawazo.
Karibuni wakuu.
Natanguliza shukrani za dhati kwa watakaonisaidia kimawazo na kitaalam. Ninahakika kwatatizo langu huku litapata ufumbuzi kwani kuna madaktari wenyeujuzi uliotukaka hapa Jamii forum.
Ninasumbuliwa natumbo jamani. Linajaa gesi sana na linanguruma hasa usiku. Pia linaniletea maumivu yakiuno makali. Kunamda nashindwa hata kuinama. Pia nikihisi kwenda haja choo kinakua chashida na kidogosana.
Pia huambatana na damu. Tatizo hili limesababisha hata kuishiwa hamu ya kugegeda. Hata wakati mwingine nashindwa kabisa. Kwasasa natumia dozi lakini hakuna dalili zozote zakupona. Msaada wenu kimawazo, kitaalam unahitajika wapendwa kwani nimekuwa na msongo mkali kimawazo.
Karibuni wakuu.