Msaada Natafuta kazi NHIF Data clark. Karani wa kuingiza taarifa za NHIF

Msaada Natafuta kazi NHIF Data clark. Karani wa kuingiza taarifa za NHIF

GIRITA

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
4,432
Reaction score
5,864
Habari wakuu Natafuta kibarua cha kuingiza taarifa za mfuko wa Bima ya afya wa Taifa NHIF.

Naweza kufanya member authorization.

Naweza kufanya Eclaim- kudai malipo ya kituo kwa mwezi husika.

Naweza kujaza kitabu cha Dawa cha wagonjwa wa Bima ya NHIF.

Nina ujuzi wa kutumia computer.

Sikusoma kozi ya Afya ila hii kazi nimeifanya kwa miaka miwili...kutumia ujuzi wa computer tu na Elimu ya kidato cha nne.

Naomba msaada wadau wa humu napatikana mkoa wa Mwanza kwa sasa.
 
Why NHIF Pekee

Kwanini usiseme tu unatafuta kazi ya Data Clerk ?

Au umesikia NHIF wanataka watu au kwanini hapo na si pengine ?
 
Wadau msaada tafadhali...tusaidiane🙏🙏🙏🙏
 
Sisi sote ni ndugu mojaa.
 
Sisi sote ni ndugu mojaa.
Ndio wote dugu moya..., lakini tatizo dugu nyingi zimekaa kitaa na zenyewe hazina fursa....

Ni hapa ndio utagundua msemo wa Kifo cha Wengi Harusi ni Uongo...
 
Kama kuna mdau ana connection na hospitali anisaidie humu kuna madaktari na manesi pia wafamasia.....msaada tafadhali.
 
Unatafuta kazi za kujaza NHIF kwenye vituo vya Afya au huko NHIF kwenye?
 
Why NHIF Pekee

Kwanini usiseme tu unatafuta kazi ya Data Clerk ?

Au umesikia NHIF wanataka watu au kwanini hapo na si pengine ?
Mimi nilifanya kazi kwenye kituo kinachotoa huduma za NHIF...sijawahi kufanya Bima zingine ila nikipewa maelekezo napiga kazi mkuu..
 
Unatafuta kazi za kujaza NHIF kwenye vituo vya Afya au huko NHIF kwenye?
Kujaza kwenye vituo vya afya....nilifanya kwenye kituo kinachotoa huduma za NHIF tu..hakukuwa na Bima zingine...ila nikipewa maelekezo napiga kazi...nimeifanya ile system ya NHIF portal....niunganishe mkuu.
 
Back
Top Bottom