Msaada: Natafuta lori linalosafirisha mizigo kutoka Masasi kwenda Dar

Msaada: Natafuta lori linalosafirisha mizigo kutoka Masasi kwenda Dar

Habari wakuu?? Naomba msaada wa lori linalosafirisha mizigo kutoka masasi kwenda dar! Nina mizigo ninahama nahitaji kuisafirisha anayejua hayo malori naomba msaada kwa sasa mimi nipo Dodoma
Nende Temeke Sudan au Jangwani.

Kuna huyu jamaa pia nilishawahi safirisha mzigo wa mtu kwenda Kusini, sina hakika kama bado yupo. Mpigie

Kipama Transporter
0657 97 93 70
 
Back
Top Bottom