kenzi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 425
- 461
Yanapatikana wapi hayo mafuta?Sijui..hayo super black Sijawai yatumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanapatikana wapi hayo mafuta?Sijui..hayo super black Sijawai yatumia
Mi Nilinunua wanatembeza Watu barabaraniYanapatikana wapi hayo mafuta?
Ndio nikitandani kwangu...
huyu jamaa ni moderator sijui🤭kila nikienda uzi wowote yupo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzee wa miongozo unanifurahishaga sana.
Na mambo yako nimekuachia mwenyewe.
nayatafuta sana haya naomba nitext nkutafute
Jaribu kubadilisha shuka kwa kweli!
I mean no offense mama.
Mkuuu...Shuka langu Shida gani?..nahata nikibadilisha itakusaidia Nini?Jaribu kubadilisha shuka kwa kweli!
I mean no offense mama.
Mkuuu...Shuka langu Shida gani?..nahata nikibadilisha itakusaidia Nini?
Mbona shuka zuri na halina tatizo. Walimwengu daah
Next time before saying no offense..Try Shutting up.I mean no offense mkuu[emoji1544][emoji1544][emoji1544]
Next time before saying no offense..Try Shutting up.
Kama uko nyumbani unavaa capeKuna mafuta natumia Nilinunua walikua wanatembeza ya nywele.Jamani ni meusi nywele zinakuwa nyeusi balaa, ila Sasa ukipaka mengi kwenye nywele makochi yanachafuka, mito na mashuka.
Ila nywele haziwashi kabisa Ila ukipaka mengi madoa yakiingia kwenye nguo hayatoki
Kama uko nyumbani unavaa cape
Yaaani... Unafunga kitambaa maana hata ukiegemea Kochi... Linakua jeusiKama uko nyumbani unavaa cape
Sasa hukua na Nia mbaya.. KU provoke huko Sio Nia mbaya..Nilikuwa sina baya ila nilikuwa naku-provoke!
Samahani sana mkuu kwa kukukwaza.
Sasa hukua na Nia mbaya.. KU provoke huko Sio Nia mbaya..
Naona utakuwa na fractured brain.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Habari yako!
Mafuta Yenye Changamoto Tena Unapendezesha NyweleKuna mafuta natumia Nilinunua walikua wanatembeza ya nywele.Jamani ni meusi nywele zinakuwa nyeusi balaa, ila Sasa ukipaka mengi kwenye nywele makochi yanachafuka, mito na mashuka.
Ila nywele haziwashi kabisa Ila ukipaka mengi madoa yakiingia kwenye nguo hayatoki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe mchokozi kichwa
Salama kabisa,huko spurs hawajambo?tangu utuhame man u hatukuon kabisa
Ngoja waje mkuu😂😂😂