Hiyo VpHabari za kwenu wakuu? husika na kichwa cha chapisho hapo juu...Ni kwamba nahitaji body spray au perfume yenye sifa zifuatazo;-
1.Manukato ya chocolate
2.Bei ya kawaida (Affordable Price)
3.Iwe rahisi kuipata (niko Dar)
4.Unaweza kuweka majina ya hizo perfume au body spray hapo chini [emoji116]
Mbona imekaa kama mashine mkuu
😃😀😄😁😁😆😅😆😁Chupa Tu Muonekano WakeMbona imekaa kama mashine mkuu
Bei Ya Chama Na Serikali Yaani Kama Chandarua Chenye Hati PunguzoInauzwaje?
Tshs 5000/=bei yake ipoje mkuu?
Perfume ikipotea inabidi aende Moja moja kwenye chumba cha wadada, lazima ataipata huko.Mbona imekaa kama mashine mkuu
HaaPerfume ikipotea inabidi aende Moja moja kwenye chumba cha wadada, lazima ataipata huko.
Tumekupata Bob Junior my chocolate flavorHabari za kwenu wakuu? husika na kichwa cha chapisho hapo juu...Ni kwamba nahitaji body spray au perfume yenye sifa zifuatazo;-
1.Manukato ya chocolate
2.Bei ya kawaida (Affordable Price)
3.Iwe rahisi kuipata (niko Dar)
4.Unaweza kuweka majina ya hizo perfume au body spray hapo chini [emoji116]
Lazma warembo wameikwibaPerfume ikipotea inabidi aende Moja moja kwenye chumba cha wadada, lazima ataipata huko.
Mara Ya Kwanza Sikukuelewa Kumbe Imekuwa Kama Kile Kibomba Cha BafuLazma warembo wameikwiba
Hahahahahah mkuu badili Ram weka DDR-4 sahizi ya 8GBMara Ya Kwanza Sikukuelewa Kumbe Imekuwa Kama Kile Kibomba Cha Bafu
Mbona imekaa kama mashine mkuu
Nchi Ina Watu Wa Hovyo[emoji23][emoji23][emoji119]Mbona imekaa kama mashine mkuu