Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,304
- 830
Tafadhari Shufu Somo Hapo Juu,,
Ktk makuzi yangu, nikiwa mdogo nilikiwa primary nilicheza mpira wa miguu nikiwa back no 2. Baada ya kumaliza primary ckua na hobby kabisa na michezo yoyote. Hata kufatilia malegue yenu sina hobby kabisa
Kutokana na kutokua na hobby ya michezo yoyote ukiachilia ya kwa Bed, nimejishitukia kusongwa na mawazo sana
Ninakua na mistress sana
Hivyo nimeona nianze kufatilia michezo esp Mpira wa Miguu japo niko na 40yrs
Naomba Msaada kujua:-
Niaanze kuwa Mshabiki wa Timu gani kati ya Simba na Yanga?
Katika Timu mtakayo nichagulia, Mchezaji gani bingwa nianze kumzungumzia
Madaraja ndio nini?
NIANZEJE,?
NIANZIE WAPI,?
NIANZE NA NAN,?
NIANZE NINI?
Ktk makuzi yangu, nikiwa mdogo nilikiwa primary nilicheza mpira wa miguu nikiwa back no 2. Baada ya kumaliza primary ckua na hobby kabisa na michezo yoyote. Hata kufatilia malegue yenu sina hobby kabisa
Kutokana na kutokua na hobby ya michezo yoyote ukiachilia ya kwa Bed, nimejishitukia kusongwa na mawazo sana
Ninakua na mistress sana
Hivyo nimeona nianze kufatilia michezo esp Mpira wa Miguu japo niko na 40yrs
Naomba Msaada kujua:-
Niaanze kuwa Mshabiki wa Timu gani kati ya Simba na Yanga?
Katika Timu mtakayo nichagulia, Mchezaji gani bingwa nianze kumzungumzia
Madaraja ndio nini?
NIANZEJE,?
NIANZIE WAPI,?
NIANZE NA NAN,?
NIANZE NINI?