Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 147
Jamani baada ya kukaa kitaa kwa muda bila kibarua mafanikio huku family (Mke na mtoto wakinitazama).
Nimeamua kuanza kuandika makala mbalimbali katika nyanja mbalimbali za maisha ya binaadamu hususani vijana, Hivyo basi ningeomba ushirikiano wenu wa hali na mali kama utaweza nichangia scripts, articles, logos mawazo hata ufadhili wa ku-host nimefikiria kuiita www.tumainilangu.com
Lengo ni kuelimisha, kufundisha, kuburudisha na kuwatoa watu mahali pamoja walipokwama kwenda sehemu nyingine hasa kwa walio kata tamaa.
CC Kiranga https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/84604-the-five-stages-of-grieving.html
Nimeamua kuanza kuandika makala mbalimbali katika nyanja mbalimbali za maisha ya binaadamu hususani vijana, Hivyo basi ningeomba ushirikiano wenu wa hali na mali kama utaweza nichangia scripts, articles, logos mawazo hata ufadhili wa ku-host nimefikiria kuiita www.tumainilangu.com
Lengo ni kuelimisha, kufundisha, kuburudisha na kuwatoa watu mahali pamoja walipokwama kwenda sehemu nyingine hasa kwa walio kata tamaa.
CC Kiranga https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/84604-the-five-stages-of-grieving.html